TCU jamani basi inatosha! mtatuua kwa presha!
Enough is enough!
Toeni selection basi!
Tcu tushakoma jamani!
Mbona mnatufanyia ivyo!
Mbona mnatupa mateso!o
Hata tukila hatushibi!
Sawa bana mungu anawaona lakini!!!!!
nakumbuka tulikua tunasoma kozi za mechanics yaaani nlikua sielewi kabisa... kidogo niondoke kwa kweli... nikakaza buti kiume nikagongwa ka C na sasa nimemaliza daaaaah chuo si mchezo kabisa