Mbonea mweta
Senior Member
- Sep 4, 2018
- 140
- 40
kuna nini tena majina ya selected applicant second round machache yani haieleweki
mkVuta subira mkuu.... Yatatoka...
mkuu wanazingua aiseeVuta subira mkuu.... Yatatoka...
Am scared kwakweli. Hayo majina ni machache kiasi gan jaman
Am scared kwakweli. Hayo majina ni machache kiasi gan jaman
something like mia 5Am scared kwakweli. Hayo majina ni machache kiasi gan jaman
Majina machache sana na wengi hawajaona majina yao pia mpka sasa vyuo husika hawajatoa single selected name na mwisho wa kuaply n jtanoAm scared kwakweli. Hayo majina ni machache kiasi gan jaman
Majina machache sana na wengi hawajaona majina yao pia mpka sasa vyuo husika hawajatoa single selected name na mwisho wa kuaply n jtano
au ndo taifa LIPO KWENYE MAOMBOLEZOMajina machache sana na wengi hawajaona majina yao pia mpka sasa vyuo husika hawajatoa single selected name na mwisho wa kuaply n jtano
eb tusubiri maana naskia vyuo havijatuma majina yoteAm scared kwakweli. Hayo majina ni machache kiasi gan jaman
Inawezekana maaana siyo kwa list hile pia muda n mchache sasa wa third round and wanafunzi hawajui hatima yaoeb tusubiri maana naskia vyuo havijatuma majina yote
Mzumbe naona na Udsm bado Mungu afanye wepesitusubiri tu jamani maana kuna mtu kachaguliwa vyuo vitatu ila jina lake halijatoka kwenye watu wa multiple yeye amekuta kwenye account za vyuo alivoapply
Tuwewatulivu tu
ndio tuombe Mungu tuMzumbe naona na Udsm bado Mungu afanye wepesi