SEC ROUND UDSM

SEC ROUND UDSM

J26

Senior Member
Joined
Aug 26, 2018
Posts
126
Reaction score
46
Habari ninahitaji msaada nimefanya addisimon ya kuapply sec round kwa mwanangu chuo kikuu cha udsm lakini nilifanikisha kuaapply vizuri tu But kuna haya maneno ninayaona baada ya kuangalia my application
:THERE WAS A TECHNICAL ERROR RETRIEVING YOUR PRIOR ADMISSION STATUS PLEASEN LOGIN OR CHECK AGAIN LATER
nikiangalia namba yake simu imekuja nusu katika profile yake why naona haya maneno kama kuna mtu anafahamu jinsi ya kunisaidia nisaiide nimuokoe mwanangu hapa.
 
Usijali mkuu ni technical problem wala naona shida maombi yake yameshafika na kufanyiwa kazi kilichobaki asubiri majibu tuu. Hata kwa waliopata first round before results walikuwa wanaandikiwa hivyo. Ukitaka kuhakikisha angalia taarifa pale chini ya kozi alizoomba na details zingine kama zipo sawa. Relax
 
Usijali mkuu ni technical problem wala naona shida maombi yake yameshafika na kufanyiwa kazi kilichobaki asubiri majibu tuu. Hata kwa waliopata first round before results walikuwa wanaandikiwa hivyo. Ukitaka kuhakikisha angalia taarifa pale chini ya kozi alizoomba na details zingine kama zipo sawa. Relax
Namba yake ya simu imekuja nusu Asante sana barikiwa
 
Usijali mkuu ni technical problem wala naona shida maombi yake yameshafika na kufanyiwa kazi kilichobaki asubiri majibu tuu. Hata kwa waliopata first round before results walikuwa wanaandikiwa hivyo. Ukitaka kuhakikisha angalia taarifa pale chini ya kozi alizoomba na details zingine kama zipo sawa. Relax
Hazipo sawa hasa namba yake ya simu imekuja nusu anyway thank aloot be blessed let's wait kwa results
 
Ukihitaj kuapply second round vyuo ambavyo hukuapply befor inawezekana??
 
Kama umeomba nafasi na inaonekana prior status kwamba bado kuna status ya prior admission , inakubidi uchukue barua kutoka kwa mkuu wako wa chuo , ambatanisha na transcript kisha upeleke tcu pale utapewa form ya kujazaapplication ndipo baadae tcu watakutoa kwenye system yao , kutokea neno hilo hapo juu inamaana wewe unaonekana bado unasoma , umemaliza diploma mwaka huu au ulishawai kua admitted hivyo unabidi kufanya clearance usipofanya hauchaguliwi mim ilinikuta nikafanya clearance pale tcu ,
 
Kama umeomba nafasi na inaonekana prior status kwamba bado kuna status ya prior admission , inakubidi uchukue barua kutoka kwa mkuu wako wa chuo , ambatanisha na transcript kisha upeleke tcu pale utapewa form ya kujazaapplication ndipo baadae tcu watakutoa kwenye system yao , kutokea neno hilo hapo juu inamaana wewe unaonekana bado unasoma , umemaliza diploma mwaka huu au ulishawai kua admitted hivyo unabidi kufanya clearance usipofanya hauchaguliwi mim ilinikuta nikafanya clearance pale tcu ,
Hapana mkuu kwa hii ishu ya jamaa applicants wote wa first round waliandikiwa hivi before selection results.
 
Ukihitaj kuapply second round vyuo ambavyo hukuapply befor inawezekana??
Yeah. Na ni jambo Jema, utafata procedures zote kwa chuo huko as if unaappy for the first time.
 
Kama umeomba nafasi na inaonekana prior status kwamba bado kuna status ya prior admission , inakubidi uchukue barua kutoka kwa mkuu wako wa chuo , ambatanisha na transcript kisha upeleke tcu pale utapewa form ya kujazaapplication ndipo baadae tcu watakutoa kwenye system yao , kutokea neno hilo hapo juu inamaana wewe unaonekana bado unasoma , umemaliza diploma mwaka huu au ulishawai kua admitted hivyo unabidi kufanya clearance usipofanya hauchaguliwi mim ilinikuta nikafanya clearance pale tcu ,
mkuu na mimi nashida kama hii .......ilichukua siku ngapi baada ya kuwapa barua kukutoa kwenye system?
 
Nilipeleka j3 j5 ikawa cleared nilipofungua system haikutokea tena
 
Hivi ukisha confirm udsm,, status ako pale ina andikaje, kwa ambae ka confirm ud anambie...
 
Inatokea hivyo
IMG_20180907_174046.jpg
 
Mm nilipeleka barua tarehe 9.8.2018 Hadi Leo hawajanitoa kwenye system nifanyajee
 
Kama umeomba nafasi na inaonekana prior status kwamba bado kuna status ya prior admission , inakubidi uchukue barua kutoka kwa mkuu wako wa chuo , ambatanisha na transcript kisha upeleke tcu pale utapewa form ya kujazaapplication ndipo baadae tcu watakutoa kwenye system yao , kutokea neno hilo hapo juu inamaana wewe unaonekana bado unasoma , umemaliza diploma mwaka huu au ulishawai kua admitted hivyo unabidi kufanya clearance usipofanya hauchaguliwi mim ilinikuta nikafanya clearance pale tcu ,
ukishapewa hiyo barua na kuwasilisha panapo hitajika hiyo status inasomekaje mkuu !? geniusMe
 
Back
Top Bottom