Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 857
- 2,289
Guys kwa wale wazee wa kubeti Online kuna baadhi ya kampuni ni wezi.
Iko hivi, umeweka mkeka umekula hela nyingi say 50M -->, au hata 20M tu.
Wanabadilisha matokeo ya mkeka wako, wanaweza kuweka timu ambazo wewe haukuweka au ulipoweka over 1.5 wakaweka 0ver 2.5.
Niliandaa mkeka kwenye karatasi nikauweka, cha ajabu kuna timu 2 nimezikuta kwenye mkeka kwenye karatasi yangu hazipo na ndio zilizochana mkeka, zote zilizo kwenye karatasi yangu zimetiki.
Yaani naishiwa pawa guys maana nilikuwa nimezi select livescore pia nikawa nafatilia matokeo, ilipobaki mechi 1, nikaanza kuangalia showroom za Velar nitop up. Ebana bgoma dakika ya 45 goli 2 na mie niliomba 3.
Second half goli 2 tena zikafungwa zikawa 4. Kila niki login naambiwa akaunti namba sio sahihi.
Nikaomba kubadili password nakuja kuingia mkeka umekufa, wameniwekea timu 2 mamluki.
Nguvu ya kwenda GBT sina maana ushahidi hamna na ile ni online.
So kuweni makini guys kila mtu hataki kutoa hela.
Iko hivi, umeweka mkeka umekula hela nyingi say 50M -->, au hata 20M tu.
Wanabadilisha matokeo ya mkeka wako, wanaweza kuweka timu ambazo wewe haukuweka au ulipoweka over 1.5 wakaweka 0ver 2.5.
Niliandaa mkeka kwenye karatasi nikauweka, cha ajabu kuna timu 2 nimezikuta kwenye mkeka kwenye karatasi yangu hazipo na ndio zilizochana mkeka, zote zilizo kwenye karatasi yangu zimetiki.
Yaani naishiwa pawa guys maana nilikuwa nimezi select livescore pia nikawa nafatilia matokeo, ilipobaki mechi 1, nikaanza kuangalia showroom za Velar nitop up. Ebana bgoma dakika ya 45 goli 2 na mie niliomba 3.
Second half goli 2 tena zikafungwa zikawa 4. Kila niki login naambiwa akaunti namba sio sahihi.
Nikaomba kubadili password nakuja kuingia mkeka umekufa, wameniwekea timu 2 mamluki.
Nguvu ya kwenda GBT sina maana ushahidi hamna na ile ni online.
So kuweni makini guys kila mtu hataki kutoa hela.