THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
Kinachowaumiza NSSF ni power struggle , kugombea madaraka. Viongozi 12 wamesimamishwa . Nafasi Zao kuna watu wanakaimu.
Hawa wanaokaimu Haswa haswa Mbette (utumishi) Tikyeba (Fedha) Mmuni (Operations) wanafanya kila njia na njama ili Chiku (utumishi) Mrosso (Fedha) na Magori (Operations) wasirudi wafukuzwe kazi ili wao wanaokaimu wachukue nafasi hizo.
Kwa Sababu hiyo walipoenda kwenye kamati za Bunge wakiulizwa Maswali wanajifanya ukweli hawaujui na njia nyepesi ni kuwalaumu kina Mrosso na wenzao ili waonekane hawafai.
Ndio maana kwenye Mkutano wa Wadau hivi karibuni Arusha Tikyeba aliwaambia Wadau viongozi wa zamani mafisadi na kwamba wao ni wageni wapewe Muda wasafishe. Kauli hiyo Kairudia kwenye kamati ya Bunge.
La ajabu ni kuwa Kama kina Mrosso mafisadi mbona CAG katoa Hati safi ya hesabu? Mbona huo ufisadi kwenye ripoti ya CAG haupo?
Tikyaba na wenziwe wajue vyeo havipatikani kwa kufitini wengine
Hawa wanaokaimu Haswa haswa Mbette (utumishi) Tikyeba (Fedha) Mmuni (Operations) wanafanya kila njia na njama ili Chiku (utumishi) Mrosso (Fedha) na Magori (Operations) wasirudi wafukuzwe kazi ili wao wanaokaimu wachukue nafasi hizo.
Kwa Sababu hiyo walipoenda kwenye kamati za Bunge wakiulizwa Maswali wanajifanya ukweli hawaujui na njia nyepesi ni kuwalaumu kina Mrosso na wenzao ili waonekane hawafai.
Ndio maana kwenye Mkutano wa Wadau hivi karibuni Arusha Tikyeba aliwaambia Wadau viongozi wa zamani mafisadi na kwamba wao ni wageni wapewe Muda wasafishe. Kauli hiyo Kairudia kwenye kamati ya Bunge.
La ajabu ni kuwa Kama kina Mrosso mafisadi mbona CAG katoa Hati safi ya hesabu? Mbona huo ufisadi kwenye ripoti ya CAG haupo?
Tikyaba na wenziwe wajue vyeo havipatikani kwa kufitini wengine