Scramble and power strugle inavyoiyumbisha NSSF..

Nijibu hoja ipi...

Wewe unahis kuna hoja gan inayostahiki kujibiwa kwa mfano...
zipo nyingi, lakini labda tuanze na hii, kwa nini wapandishe sana thamani ya ardhi katika eneo ambalo sio 'prime' kama kigamboni na kuperekea wale wenye ardhi kupata umiliki mkubwa wa mradi? na inasemekana hawakuwa na uwezo mpaka wakataka kukopa huko huko nssf mpaka the excellence presidaa alipomtengua jamaa ndo mkopo ukashindikana baada ya uongoz mpya kukataa.
 
Fitna Fitna Fitnaaa


Ni hii habari ya jana imekutoa pangoni nini:

CAG ashitukia ulaji mil.775/- kila eka NSSF
www.ippmedia.com/sw/habari/cag-ashitukia-ulaji-mil775-kila-eka-nssf

Kufuatia taarifa hiyo, wabunge kupitia Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) walikuja juu na kuubana uongozi wa NSSF, wakitaka maelezo ya kina kuhusiana na suala hilo walilodai lina harufu ya ufisadi.

Wakati ikipitia taarifa ya CAG, kamati hiyo, chini ya Mwenyekiti wake, Naghenjwa Kaboyoka, ilibaini kuwa katika mradi wa NSSF kuendeleza mji wa kisasa wa Kigamboni jijini Dar es Salaam ambao shirika hilo limeingia ubia na taasisi nyingine, thamani ya kiwanja kimoja iliyowekwa ni Sh. milioni 800 wakati thamani halisi ni Sh. milioni 25, hivyo kuwapo na malipo ya ziada ya Sh. milioni 775 kwa kila kiwanja.

PAC ilifichua ulaji huo wakati ikiibana NSSF kwa kutaka ufafanuzi kuhusu hoja mbalimbali za ukaguzi zilizoainishwa na CAG katika mwaka wa fedha 2014/15.

Mwenyekiti wa PAC, Kaboyoka, alisema kuwa watalieleza Bunge kuhusu harufu ya ufisadi katika mradi huo wa NSSF katika kuendeleza mji wa Kigamboni.

Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige (CCM), alidai mradi huo umegubikwa na 'uchafu' kutokana na kile kilichofanyika .

Mbunge wa Magomeni, Jamal Kassim Ali (CCM), alisema kuna taarifa kwamba mbia, ambaye ni kampuni ya Azimio Housing Estates, kuwa anataka kukopa tena wakati kuna fedha za uwekezaji hazijaingizwa kwenye mradi.

Ali alidai pia kuwa, kuna mgongano wa maslahi kutokana na kampuni hiyo kuonekana ikipewa kazi nyingi na NSSF.

Makamu Mwenyekiti wa PAC, Aeshi Hilaly, alisema taarifa zao zinaonyesha mbia huyo yupo tayari kuingiza fedha kwenye uwekezaji huo lakini anataka akope, hivyo kuna uwezekano wa NSSF kupoteza Sh. bilioni 270 ambazo zimeingizwa kwenye uwekezaji huo kama isipokuwa makini kuangalia namna ya kuzirudisha.

Katika ripoti ya CAG ya 2014/15, inaelezwa kuwa NSSF iliingia ubia na kampuni hiyo na kuanzisha kampuni maalumu kwa jina la Hifadhi Builders Limited.

Ilielezwa kuwa katika mkataba huo wa mradi wa Kigamboni, Azimio Housing Estates inatakiwa kuendeleza ekari 20,000 za ardhi zilizopo Kigamboni lakini baada ya tathmini, PAC imebaini zipo ekari 3,503 tu.

Katika ubia huo, NSSF inamiliki asilimia 45 ya hisa wakati Azimio Housing Estates inamiliki asilimia 55 ya hisa na jumla ya gharama za mradi ni dola za Marekani milioni 653.44.

Aidha, inaelezwa kuwa utaratibu wa uchangiaji mtaji ni NSSF kutoa fedha kwa asilimia 45 ya gharama za mradi na Azimio kutoa fedha zenye thamani ya asilimia 35 ya gharama za mradi pamoja na ardhi ambayo itathaminishwa kuwa asilimia 20 ya gharama za mradi.

Hata hivyo, wajumbe wa PAC walishangazwa na uthamini uliofanywa kwenye ardhi wakieleza kuwa gharama imeonekana ni kubwa kuliko gharama halisi.

Ripoti ya CAG inaeleza kuwa katika makubaliano ya usitishwaji, kiasi cha Sh. bilioni 43.9 ilicholipwa Azimio na shirika ni sehemu ya ada ya ushauri ambayo inabadilishwa kuwa mkopo utakaorejeshwa na kampuni kupitia sehemu ya mauzo ya nyumba katika mradi wa Dege ndani ya miaka mitatu, kwa riba ya asilimia tatu kwa mwaka.

Akijibu hoja za wabunge, Mkurugenzi wa NSSF, Prof. Godius Kahyarara, alisema utekelezaji wa mradi wa Dege ulisimama tangu Februari mwaka huu kutokana na mwekezaji kutokuwa na fedha huku NSSF tayari ikiwa imeshaingiza Sh. bilioni 270.

Hata hivyo, alisema kuna ukaguzi maalumu unafanyika kwenye miradi yote ya NSSF ukiwamo huo wa Kigamboni.

“Tukitoka kwenye ubia huu, tunaweza kupoteza fedha hizo… tupo makini kuhakikisha mwekezaji huyo (Azimio) anarejesha fedha hizo,” alisema Mkurugenzi huyo.

Prof. Kahyarara alikiri Azimio kupeleka barua kwa NSSF ikitaka kukopa na ilikataliwa kupewa mkopo huo kwa sababu inadaiwa na haiwezi kukopeshwa tena.

Alisema sehemu kubwa ya ardhi imenunuliwa na NSSF kwa bei kubwa tofauti na uhalisia na kuna uchunguzi unafanywa kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato (TRA) huku akisema hatua mbalimbali zimechukuliwa ikiwa ni pamoja na kuwasimamisha kazi wale wote waliohusika na mkataba wa mradi huo.

UTATA MIKOPO SACCOS
Katika hatua nyingine, PAC imemuagiza CAG kufanya ukaguzi maalumu wa mikopo yote iliyotolewa na NSSF baada ya kubaini kuwa Saccos ya Bumbuli Development Corporation imepatiwa mkopo usio wa kawaida wa Sh. bilioni 2.4 ndani ya mwaka mmoja.

Mwenyekiti wa PAC, Kaboyoka, alisema juzi kuwa kamati yake ilishtushwa na kumuagiza CAG kufanya ukaguzi maalumu wa fedha za Saccos ya Bumbuli.

Alisema suala la Saccos ya Bumbuli kupatiwa kiasi hicho kikubwa cha fedha, limewashtua wajumbe wa kamati hiyo na kujiuliza imekuwaje ipate fedha nyingi katika kipindi hicho kifupi huku ikipewa tena fedha nyingine na kufanya deni kufikia Sh. bilioni 2.4 ndani ya mwaka mmoja.

“CAG afanye ukaguzi kwenye Saccos maana haijulikani kama fedha walizopewa awali zimerudishwa au la,” alisema Mwenyekiti huyo.

Kaboyoka aliongeza kuwa maelekezo mengine yatatolewa bungeni kwa mujibu wa Kanuni ya 117(10) katika kanuni za Kudumu za Bunge toleo la Januari 2016, inayoipa mamlaka kamati hiyo kuwasilisha taarifa bungeni kuhusu hesabu za serikali.

Awali, wakati wakichangia mapitio ya hesabu za NSSF, wajumbe wa kamati hiyo walionyesha kushtushwa na jinsi Saccos hiyo ilivyopewa mabilioni ya shilingi kwa zaidi ya mara moja ndani ya muda huo mfupi.

Mbunge wa Viti maalumu, Tunza Malapo (Chadema), alihoji kama NSSF imefanya uhakiki na kujiridhisha juu ya uwapo wa Saccos hiyo ya Bumbuli.

Mbunge wa Kilindi, Omar Kigua (CCM), alihoji vigezo vilivyotumika mpaka Saccos moja kupewa mkopo mara tatu ndani ya mwaka mmoja.

Alisema NSSF imetoa mikopo kwa Saccos tisa, kwa kiasi kinachozidi asilimia 50 ya thamani ya mali za Saccoss, husika kinyume cha sera ya kukopesha ya shirika na limeomba kiasi ambacho hakikustahili kutolewa.

Katika ripoti ya CAG, mbali na Bumbuli, Saccos zingine zilizopatiwa fedha nyingi kinyume cha utaratibu ni Korongo Amcos Saccos, UMMA Saccos, SBC Saccos Ltd, Hekima Saccos, Ukombozi Saccos Ltd, Uzinza Saccos Ltd, Harbour Saccos na Umoja Saccos.

Akizungumzia suala hilo la Saccos, Mkurugenzi wa NSSF, Prof. Kahyarara, alisema ukaguzi wa awali uliofanywa, umebaini ni kweli kuna Saccos zilikuwa hazionekani huku kwenye vitabu zikiorodheshwa kuwa zimekopeshwa.

Aidha, alisema kuna wadaiwa wengine wamejitokeza na kupeleka fedha wenyewe, na ambao awali walikuwa hawajulikani.

Mwenyekiti wa Bodi ya NSSF, Prof. Samwel Wangwe, alisema hivi sasa bodi imesimamisha mikopo kwa Saccos hadi uchunguzi ukamilike na baada ya hapo utawekwa utaratibu mpya wa utoaji mikopo.
 
Then after that CAG aje atoe hati safi?

Does it make sense to you?

Hizo habari zichukue ukafungie vitumbua vyako
Ni hii habari ya jana imekutoa pangoni nini:

CAG ashitukia ulaji mil.775/- kila eka NSSF
www.ippmedia.com/sw/habari/cag-ashitukia-ulaji-mil775-kila-eka-nssf

Kufuatia taarifa hiyo, wabunge kupitia Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) walikuja juu na kuubana uongozi wa NSSF, wakitaka maelezo ya kina kuhusiana na suala hilo walilodai lina harufu ya ufisadi.

Wakati ikipitia taarifa ya CAG, kamati hiyo, chini ya Mwenyekiti wake, Naghenjwa Kaboyoka, ilibaini kuwa katika mradi wa NSSF kuendeleza mji wa kisasa wa Kigamboni jijini Dar es Salaam ambao shirika hilo limeingia ubia na taasisi nyingine, thamani ya kiwanja kimoja iliyowekwa ni Sh. milioni 800 wakati thamani halisi ni Sh. milioni 25, hivyo kuwapo na malipo ya ziada ya Sh. milioni 775 kwa kila kiwanja.

PAC ilifichua ulaji huo wakati ikiibana NSSF kwa kutaka ufafanuzi kuhusu hoja mbalimbali za ukaguzi zilizoainishwa na CAG katika mwaka wa fedha 2014/15.

Mwenyekiti wa PAC, Kaboyoka, alisema kuwa watalieleza Bunge kuhusu harufu ya ufisadi katika mradi huo wa NSSF katika kuendeleza mji wa Kigamboni.

Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige (CCM), alidai mradi huo umegubikwa na 'uchafu' kutokana na kile kilichofanyika .

Mbunge wa Magomeni, Jamal Kassim Ali (CCM), alisema kuna taarifa kwamba mbia, ambaye ni kampuni ya Azimio Housing Estates, kuwa anataka kukopa tena wakati kuna fedha za uwekezaji hazijaingizwa kwenye mradi.

Ali alidai pia kuwa, kuna mgongano wa maslahi kutokana na kampuni hiyo kuonekana ikipewa kazi nyingi na NSSF.

Makamu Mwenyekiti wa PAC, Aeshi Hilaly, alisema taarifa zao zinaonyesha mbia huyo yupo tayari kuingiza fedha kwenye uwekezaji huo lakini anataka akope, hivyo kuna uwezekano wa NSSF kupoteza Sh. bilioni 270 ambazo zimeingizwa kwenye uwekezaji huo kama isipokuwa makini kuangalia namna ya kuzirudisha.

Katika ripoti ya CAG ya 2014/15, inaelezwa kuwa NSSF iliingia ubia na kampuni hiyo na kuanzisha kampuni maalumu kwa jina la Hifadhi Builders Limited.

Ilielezwa kuwa katika mkataba huo wa mradi wa Kigamboni, Azimio Housing Estates inatakiwa kuendeleza ekari 20,000 za ardhi zilizopo Kigamboni lakini baada ya tathmini, PAC imebaini zipo ekari 3,503 tu.

Katika ubia huo, NSSF inamiliki asilimia 45 ya hisa wakati Azimio Housing Estates inamiliki asilimia 55 ya hisa na jumla ya gharama za mradi ni dola za Marekani milioni 653.44.

Aidha, inaelezwa kuwa utaratibu wa uchangiaji mtaji ni NSSF kutoa fedha kwa asilimia 45 ya gharama za mradi na Azimio kutoa fedha zenye thamani ya asilimia 35 ya gharama za mradi pamoja na ardhi ambayo itathaminishwa kuwa asilimia 20 ya gharama za mradi.

Hata hivyo, wajumbe wa PAC walishangazwa na uthamini uliofanywa kwenye ardhi wakieleza kuwa gharama imeonekana ni kubwa kuliko gharama halisi.

Ripoti ya CAG inaeleza kuwa katika makubaliano ya usitishwaji, kiasi cha Sh. bilioni 43.9 ilicholipwa Azimio na shirika ni sehemu ya ada ya ushauri ambayo inabadilishwa kuwa mkopo utakaorejeshwa na kampuni kupitia sehemu ya mauzo ya nyumba katika mradi wa Dege ndani ya miaka mitatu, kwa riba ya asilimia tatu kwa mwaka.

Akijibu hoja za wabunge, Mkurugenzi wa NSSF, Prof. Godius Kahyarara, alisema utekelezaji wa mradi wa Dege ulisimama tangu Februari mwaka huu kutokana na mwekezaji kutokuwa na fedha huku NSSF tayari ikiwa imeshaingiza Sh. bilioni 270.

Hata hivyo, alisema kuna ukaguzi maalumu unafanyika kwenye miradi yote ya NSSF ukiwamo huo wa Kigamboni.

“Tukitoka kwenye ubia huu, tunaweza kupoteza fedha hizo… tupo makini kuhakikisha mwekezaji huyo (Azimio) anarejesha fedha hizo,” alisema Mkurugenzi huyo.

Prof. Kahyarara alikiri Azimio kupeleka barua kwa NSSF ikitaka kukopa na ilikataliwa kupewa mkopo huo kwa sababu inadaiwa na haiwezi kukopeshwa tena.

Alisema sehemu kubwa ya ardhi imenunuliwa na NSSF kwa bei kubwa tofauti na uhalisia na kuna uchunguzi unafanywa kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato (TRA) huku akisema hatua mbalimbali zimechukuliwa ikiwa ni pamoja na kuwasimamisha kazi wale wote waliohusika na mkataba wa mradi huo.

UTATA MIKOPO SACCOS
Katika hatua nyingine, PAC imemuagiza CAG kufanya ukaguzi maalumu wa mikopo yote iliyotolewa na NSSF baada ya kubaini kuwa Saccos ya Bumbuli Development Corporation imepatiwa mkopo usio wa kawaida wa Sh. bilioni 2.4 ndani ya mwaka mmoja.

Mwenyekiti wa PAC, Kaboyoka, alisema juzi kuwa kamati yake ilishtushwa na kumuagiza CAG kufanya ukaguzi maalumu wa fedha za Saccos ya Bumbuli.

Alisema suala la Saccos ya Bumbuli kupatiwa kiasi hicho kikubwa cha fedha, limewashtua wajumbe wa kamati hiyo na kujiuliza imekuwaje ipate fedha nyingi katika kipindi hicho kifupi huku ikipewa tena fedha nyingine na kufanya deni kufikia Sh. bilioni 2.4 ndani ya mwaka mmoja.

“CAG afanye ukaguzi kwenye Saccos maana haijulikani kama fedha walizopewa awali zimerudishwa au la,” alisema Mwenyekiti huyo.

Kaboyoka aliongeza kuwa maelekezo mengine yatatolewa bungeni kwa mujibu wa Kanuni ya 117(10) katika kanuni za Kudumu za Bunge toleo la Januari 2016, inayoipa mamlaka kamati hiyo kuwasilisha taarifa bungeni kuhusu hesabu za serikali.

Awali, wakati wakichangia mapitio ya hesabu za NSSF, wajumbe wa kamati hiyo walionyesha kushtushwa na jinsi Saccos hiyo ilivyopewa mabilioni ya shilingi kwa zaidi ya mara moja ndani ya muda huo mfupi.

Mbunge wa Viti maalumu, Tunza Malapo (Chadema), alihoji kama NSSF imefanya uhakiki na kujiridhisha juu ya uwapo wa Saccos hiyo ya Bumbuli.

Mbunge wa Kilindi, Omar Kigua (CCM), alihoji vigezo vilivyotumika mpaka Saccos moja kupewa mkopo mara tatu ndani ya mwaka mmoja.

Alisema NSSF imetoa mikopo kwa Saccos tisa, kwa kiasi kinachozidi asilimia 50 ya thamani ya mali za Saccoss, husika kinyume cha sera ya kukopesha ya shirika na limeomba kiasi ambacho hakikustahili kutolewa.

Katika ripoti ya CAG, mbali na Bumbuli, Saccos zingine zilizopatiwa fedha nyingi kinyume cha utaratibu ni Korongo Amcos Saccos, UMMA Saccos, SBC Saccos Ltd, Hekima Saccos, Ukombozi Saccos Ltd, Uzinza Saccos Ltd, Harbour Saccos na Umoja Saccos.

Akizungumzia suala hilo la Saccos, Mkurugenzi wa NSSF, Prof. Kahyarara, alisema ukaguzi wa awali uliofanywa, umebaini ni kweli kuna Saccos zilikuwa hazionekani huku kwenye vitabu zikiorodheshwa kuwa zimekopeshwa.

Aidha, alisema kuna wadaiwa wengine wamejitokeza na kupeleka fedha wenyewe, na ambao awali walikuwa hawajulikani.

Mwenyekiti wa Bodi ya NSSF, Prof. Samwel Wangwe, alisema hivi sasa bodi imesimamisha mikopo kwa Saccos hadi uchunguzi ukamilike na baada ya hapo utawekwa utaratibu mpya wa utoaji mikopo.
 
Then after that CAG aje atoe hati safi?

Does it make sense to you?

Hizo habari zichukue ukafungie vitumbua vyako
Kwani huyo CAG ni entity ambayo iko sawa na Mungu na ikihalalisha kitu basi ina maana kiko perfect? Hata mahakama na nyenzo zake zote huwa wakati mwingine zina-mis look vitu. Mimi nadhani busara ungeniambia tunahitajika uchunguzi wa kina ni kwanini kuna tuhuma hizi wakati CAG aliwaona wako clean!
 
Sasa kama wewe unadhan ni hivyo basi viambie vyombo husika vimshitaki CAG kwa kumuongopea Mh Rais na bunge kwa ujumla

Lakin kuendelea kupiga domo ni kama unatwanga maji kwenye kinu tuh
Kwani huyo CAG ni entity ambayo iko sawa na Mungu na ikihalalisha kitu basi ina maana kiko perfect? Hata mahakama na nyenzo zake zote huwa wakati mwingine zina-mis look vitu. Mimi nadhani busara ungeniambia tunahitajika uchunguzi wa kina ni kwanini kuna tuhuma hizi wakati CAG aliwaona wako clean!
 
Kinachowaumiza NSSF ni power struggle , kugombea madaraka. Viongozi 12 wamesimamishwa . Nafasi Zao kuna watu wanakaimu.

Hawa wanaokaimu Haswa haswa Mbette (utumishi) Tikyeba (Fedha) Mmuni (Operations) wanafanya kila njia na njama ili Chiku (utumishi) Mrosso (Fedha) na Magori (Operations) wasirudi wafukuzwe kazi ili wao wanaokaimu wachukue nafasi hizo.

Kwa Sababu hiyo walipoenda kwenye kamati za Bunge wakiulizwa Maswali wanajifanya ukweli hawaujui na njia nyepesi ni kuwalaumu kina Mrosso na wenzao ili waonekane hawafai.

Ndio maana kwenye Mkutano wa Wadau hivi karibuni Arusha Tikyeba aliwaambia Wadau viongozi wa zamani mafisadi na kwamba wao ni wageni wapewe Muda wasafishe. Kauli hiyo Kairudia kwenye kamati ya Bunge.

La ajabu ni kuwa Kama kina Mrosso mafisadi mbona CAG katoa Hati safi ya hesabu? Mbona huo ufisadi kwenye ripoti ya CAG haupo?

Tikyaba na wenziwe wajue vyeo havipatikani kwa kufitini wengine

The bigshow usitufanye mambulula kama wewe,unataka kuhamisha mjadala unaomhusu dau ili watu tusahau,hata kama tikyeba alisema hivyo walimaanisha dau ni fisadi yeye na waosha miguu wake msemo,MSELI na kidula na mke mdogo matesa,hawa ndo wanaojua ulaji ilivyokuwa,
 
[UOTE="THE BIG SHOW, post: 18248118, member: 109760"]Hata mimi naunga mkono kauli yako...

Yes he is not a god...

Lakin kazi yake imeshajieleza...[/QUOTE]
Iyo hati safi ilitolewa lini mkuu maana exit meeting ya auditors kwa board ilikuwa bado baada ya bodi ya kifisadi kumwagwa,pia kinachojadiliwa na PAC ni ripoti ya CAG na umekiri wakina tikyeba waliulizwa na kujibu hawajui,dau hachomoki mkuu,matesa ni kila.za
 
Lumumba Kumekucha Kutakasana Kwa Maji Ya Chumvi Huyo Dau Atapata Kutu Tumie Maji Ya Madukani
 
Sasa kama wewe unadhan ni hivyo basi viambie vyombo husika vimshitaki CAG kwa kumuongopea Mh Rais na bunge kwa ujumla

Lakin kuendelea kupiga domo ni kama unatwanga maji kwenye kinu tuh
Who am I? You want me to issue orders to the president!
 
Mnaleta ujinga humu wakati ni muda wa kumshughulikia fisadi dau,hamtawexa kumyumbisha kahyarara ili wamrudishe matesa,na nasema wazi kama ikitokea matesa anarudi basi atakuwa ofisa wa ngazi ya kwanza ktk scale ya Nssf au mfagizi ofisi ya tarime
 
Kumbe kuna vita vya panzi vinaendelea kwenye hilo Shirika, wanaacha kupiga kazi wanaleta maskhara kwenye senti zetu,
 
Kinachowaumiza NSSF ni power struggle , kugombea madaraka. Viongozi 12 wamesimamishwa . Nafasi Zao kuna watu wanakaimu.

Hawa wanaokaimu Haswa haswa Mbette (utumishi) Tikyeba (Fedha) Mmuni (Operations) wanafanya kila njia na njama ili Chiku (utumishi) Mrosso (Fedha) na Magori (Operations) wasirudi wafukuzwe kazi ili wao wanaokaimu wachukue nafasi hizo.

Kwa Sababu hiyo walipoenda kwenye kamati za Bunge wakiulizwa Maswali wanajifanya ukweli hawaujui na njia nyepesi ni kuwalaumu kina Mrosso na wenzao ili waonekane hawafai.

Ndio maana kwenye Mkutano wa Wadau hivi karibuni Arusha Tikyeba aliwaambia Wadau viongozi wa zamani mafisadi na kwamba wao ni wageni wapewe Muda wasafishe. Kauli hiyo Kairudia kwenye kamati ya Bunge.

La ajabu ni kuwa Kama kina Mrosso mafisadi mbona CAG katoa Hati safi ya hesabu? Mbona huo ufisadi kwenye ripoti ya CAG haupo?

Tikyaba na wenziwe wajue vyeo havipatikani kwa kufitini wengine

Mkuu the Big Show, kati ya hao namfahamu Mrosso wala sishangai CAG kutoa hati safi ya hesabu - huyu jamaa amekaa kaa Kipadri padri mno hana makuu nilipo sikia kasimamishwa kazi nilisikitika sana - kama Waziri wa kilimo alimrudisha kazini Director General wa mamlaka ya Pamba basi hata NSSF iwarudishe kazini ambao hawana hatai.
 
Kinachowaumiza NSSF ni power struggle , kugombea madaraka. Viongozi 12 wamesimamishwa . Nafasi Zao kuna watu wanakaimu.

Hawa wanaokaimu Haswa haswa Mbette (utumishi) Tikyeba (Fedha) Mmuni (Operations) wanafanya kila njia na njama ili Chiku (utumishi) Mrosso (Fedha) na Magori (Operations) wasirudi wafukuzwe kazi ili wao wanaokaimu wachukue nafasi hizo.

Kwa Sababu hiyo walipoenda kwenye kamati za Bunge wakiulizwa Maswali wanajifanya ukweli hawaujui na njia nyepesi ni kuwalaumu kina Mrosso na wenzao ili waonekane hawafai.

Ndio maana kwenye Mkutano wa Wadau hivi karibuni Arusha Tikyeba aliwaambia Wadau viongozi wa zamani mafisadi na kwamba wao ni wageni wapewe Muda wasafishe. Kauli hiyo Kairudia kwenye kamati ya Bunge.

La ajabu ni kuwa Kama kina Mrosso mafisadi mbona CAG katoa Hati safi ya hesabu? Mbona huo ufisadi kwenye ripoti ya CAG haupo?

Tikyaba na wenziwe wajue vyeo havipatikani kwa kufitini wengine
hati safi ya cag walikuaga wanauzaga. tuliambiwaga
 
Dau hachomoki kwan alichomeka nin?

Nakuhakikishia hata mtumie tunguri huwez kumpata Dau katika propaganda za kitoto kama hizo...

Kila kitu kinakwenda kwa evidences na facts...

Tuanzie na CAG Reports kwanza ndipo tuendelee na mengine
[UOTE="THE BIG SHOW, post: 18248118, member: 109760"]Hata mimi naunga mkono kauli yako...

Yes he is not a god...

Lakin kazi yake imeshajieleza...
Iyo hati safi ilitolewa lini mkuu maana exit meeting ya auditors kwa board ilikuwa bado baada ya bodi ya kifisadi kumwagwa,pia kinachojadiliwa na PAC ni ripoti ya CAG na umekiri wakina tikyeba waliulizwa na kujibu hawajui,dau hachomoki mkuu,matesa ni kila.za[/QUOTE]
 
The bigshow usitufanye mambulula kama wewe,unataka kuhamisha mjadala unaomhusu dau ili watu tusahau,hata kama tikyeba alisema hivyo walimaanisha dau ni fisadi yeye na waosha miguu wake msemo,MSELI na kidula na mke mdogo matesa,hawa ndo wanaojua ulaji ilivyokuwa,

Mbulula bila shaka ni wewe unaedhani kwamba Dau anaweza kuwa fisadi eti kisa wwe umesema hivyo Jamii Forum pasi na ushahid pasi na evidence na pasipo na facts za aina yoyote...

Tunajua wapo wengi sana mnaotaman kuiharibu legacy ya Dr Dau lakin hamtafanikiwa
 
Mbulula bila shaka ni wewe unaedhani kwamba Dau anaweza kuwa fisadi eti kisa wwe umesema hivyo Jamii Forum pasi na ushahid pasi na evidence na pasipo na facts za aina yoyote...

Tunajua wapo wengi sana mnaotaman kuiharibu legacy ya Dr Dau lakin hamtafanikiwa
Sie hatuharibu ila keshaharibu mwenyewe kwa ujinga wake,wizi kila mtu mwizi unategemea na umeibaje sasa yeye kaiba kama vile hajasoma na mbaya zaidi dharau na udini,atanyooka tu subira yavuta kheri
 
Back
Top Bottom