Scientist International Organization

Scientist International Organization

polite girl

Member
Joined
Aug 17, 2013
Posts
33
Reaction score
5
Habari wadau naomba kama kuna mtu anafahamu hii organizations anifahamishe kama ina ukweli,
 
hao ni matapeli dada,wamenitumia email niwawekee hela kwenye account yao ya kcb,waepuke sana
 
Mie mwenyewe walinitumia jana nikapata wasi wasi sana ndio maana nikajaribu kufatilia nisije nikalizwa
 
hao ni matapeli dada,wamenitumia email niwawekee hela kwenye account yao ya kcb,waepuke sana
lakini jamaa mbona wanaonekana kama ni wa kimaukwelii? hapo vip hapo, rafiki yangu leo alikua amechanganyikiwa kabisa.. mshahara $1200 kwa mwezi su mchezo...

Mie mwenyewe walinitumia jana nikapata wasi wasi sana ndio maana nikajaribu kufatilia nisije nikalizwa
we kwani si uli apply au wamekutumia tu?.. maana leo asubuhi rafiki yangu pia wamemtumia email kama hiyo.....
 
Yes niliapply lakin kilichonishtua ni hizo pesa wanazotaka utume 270,000, na pia hakuna mawasiliano yeyote ya maana waliyoweka, hawa ni tpeli ndugu zangu
 
Hili shirika tafuta google,ngo list of kenya,tanzania even sudan huwezilipata sure hawa ni matapeli sio wa kuwatilia maanan
 
Hao ni matapeli my dear ingekua we MTU upate kazi bila interview... we ulishawahi on a wapi ingekua kweli org kubwa Ka hiyo wasingeweza kutoza watu heal.. wake up guys... usije logwa tuma izo pesa... ni matapeli ya Kenya hayo
 
at work wenzenu wapo kazini c mmeona kila mtu anatumiwa hizo email, e ndo wapo job wanatafuta hela kupitia wewe na wengine chunga sana
 
Hata mimi walenitumia jaman. Halaf post idadi ya post walizotangaza ukilinganisha na idadi wa watu walotumiwa hizi email utachoka. Tangu lini ukaenda kazini bila interview. Na kama yawezekana hizo hela ukzitanguliza nini kitakuasure kama ni wa ukweli??. Kama kwel wana moyo na wanahitaj watu waje wafungue ofc bongo land.
 
Jamani wa ndugu.mimi pia nimetumiwa hiyo email. Na nikapata ushauri kua niende KCB kufuatilia kama kweli hiyo org ipo. Nilipo fika wakajaribu ku icheki. Hiyo account imefunguliwa march this year huko mwanza na watu wawili, wakidai kua ni NGO inayohusika na mambo ya sec school, pia wanadai wana branch kenya. But hawakusema kama kuna hela zozote zile zitakazo wekwa za aina hiyo. Bank wamesema kuna uwezekano mkubwa sana kua ni wezi! So wameniambia niwaachie hiyo kazi wafuatili, then after some days watakuja na jibu. Na kama niwezi basi lazima wawafikishe mbele. So mtu asijaribu kuweka hata sent now
 
Naaam wadau.! Nafurahi sna kwa wana uzi tunavyoweza kupeana habari mapema na kuzifanyia kazi. Its very accurate and updated desk.! Mimi ni mmoja pia kati ya waliotumiwa email kutoka hlo shirika la SIO linalosadikiwa ni la matapeli. Waliniahidi ili kuwa shortlisted nitume Tshs 80,000 kwa ajilí ya VISA na 110,000 kwa ajili ya working permit na kuwatumia kwenye ACC ya KCB MWANZA BRANCH. Nilistuka maana hakunaga mambo kama hzo. Nilianza uchunguzi wa kina na hadi sasa nimegundua ni MATAPELI wa ukweli. Kuweni makini wana uzi.!
 
[FONT=Candara,sans-serif]Hi
[FONT=Candara,sans-serif]Our team here in Nairobi and Juba have reviewed your job application documents for[FONT=Candara,sans-serif] [/FONT][FONT=Candara,sans-serif]the position of Science Teacher[/FONT][FONT=Candara,sans-serif] [/FONT][FONT=Candara,sans-serif]which you applied under Scientist International Organization, and we have come up with the conclusive remark regarding your job application, and we have decided to make you part of our team operating in Juba-South Sudan upon your acceptance. Your Monthly Salary will be $1,200 (Other benefits shall be security, health insurance and social protection for employee and family member). This job is a two year contract; the job contract can be extended upon outstanding performance demonstrated by the employee. You will be working under the project titled Project Science in South Sudan[/FONT][/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]To work in South Sudan for Citizens of Tanzania or Kenya you will need three important documents with you, [FONT=Candara,sans-serif]International Passport, Visa and Working Permit. As explained below[/FONT][/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]South Sudan Immigration Authorities Offers Various type of [FONT=Candara,sans-serif]Visa,[/FONT][FONT=Candara,sans-serif] because there is no South Sudan Embassy in Tanzania, our organization will help to process for you a type of visa known as [/FONT][FONT=Candara,sans-serif]On-Arrival Visa,[/FONT][FONT=Candara,sans-serif] for South Sudan this type of visa is always given at a port (airport or harbor) of entry. In this case SIO coordinators in Juba will process all essential requirements, so that upon your arrival in Juba you will be given On-Arrival Visa. This will only cost Tshs 80,000/=[/FONT][/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]Work Permit,[FONT=Candara,sans-serif] is an Unavoidable document you will need in order to be able to work in South Sudan, Scientist Organization in Juba is facilitating the whole process of acquiring work permit from the beginning. The cost for work permit is Tshs 110,000/=[/FONT][/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]If you don’t have a travelling international passport, you will need to start processing one from any immigration office nearby you in Tanzania. [/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]Note:[FONT=Candara,sans-serif] All successful applicants/employees would need to cover all the associated costs for their permit documents (working permit, visa and passport). This is as a result of sad and bitter experiences encountered in the past. A situation whereby after the organization paid for the permit documents of employees and paying for their flight ticket, many of them (employees) failed to turn up due to either domestic, personal problems or change of mind. As a result of that, the Executive Board of Scientist International Organization came to an agreed conclusion that employees would need to pay for their permit documents as a SIGN of Commitment and Willingness that they are ready to come and work for the organization here in Juba, South Sudan OR elsewhere around the world.[/FONT][/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]The organization will only send itinerary air ticket to those who have proved to have committed to work with us by making advance payment to cover for the costs of their work permit and visa documents. The organization will ONLY send itinerary air ticket; visa application form and work permit application form to the applicants who have submitted evidence of commitment by paying for their documents as instructed.[/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif] [/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]Please you are supposed to make advance payment of the visa and working permit documents, a total of Tshs 190,000/= in our Tanzanian Bank Account given below immediately from now. [/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]Bank Name: KCB Bank (T) Ltd[/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]Account Name:[FONT=Candara,sans-serif][/FONT][FONT=Candara,sans-serif]SCIENTIST ORGANISATION (SIO)[/FONT][/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]Account Number: [FONT=Cambria,serif]3301014372[/FONT][/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif][/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]In Tanzania, Kenya, Uganda, Burundi, and Rwanda Scientist International Organization have correspondent branches in each country; these branches are registered and legally operating in the named countries. In Tanzania, SIO has a correspondent branch in Mwanza | Lake Zone and is registered as Scientist Organization (SIO); For Tanzania at grassroots’ level SIO operations are run and managed by [/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]The Director- SIO Lake Zone, Mr. Michael Meshack | Email : [FONT=Candara,sans-serif]michaelman45@ymail.com[/FONT][/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]So when sending your advance payment for the visa and work permit you will be sending the money via SIO-Tanzania Branch’s Bank Account.[/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]Then Scan the Bank Pay Slip and Email it back to us for confirmation as soon as possible, so that we can include you in the list of those who will receive itinerary air ticket from Dar -Tanzania to Nairobi, and then from Nairobi –Kenya to Juba-South Sudan. We will send the itinerary air ticket on the 30[FONT=Candara,sans-serif][SIZE=-1][SUP]th[/SUP][/FONT][FONT=Candara,sans-serif] April ONLY TO THOSE WHO HAVE PROVED TO HAVE SUCCESSIFULY completed all the requirements. Otherwise we will have to divert this opportunity to the other reserve applicants[/FONT]
[/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]Try to accomplish this before 20 April, after completing all the payment procedures please let us know by sending us a scanned bank pay slip[FONT=Candara,sans-serif] [/FONT][FONT=Candara,sans-serif]so that we can send you a [/FONT][FONT=Candara,sans-serif] [/FONT][FONT=Candara,sans-serif]job offer and appointment letter on time.[/FONT][/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]The departure date from Dar-Nairobi shall be on the 18[FONT=Candara,sans-serif][SIZE=-1][SUP]th[/SUP][/FONT][FONT=Candara,sans-serif] May 2014, and the Arrival Date in South Sudan shall be on the 20[/FONT][FONT=Candara,sans-serif][SIZE=-1][SUP]th[/SUP][/SIZE][/FONT][FONT=Candara,sans-serif] May, 2014, and the job will start on the 1[/FONT][FONT=Candara,sans-serif][SIZE=-1][SUP]st[/SUP][/SIZE][/FONT][FONT=Candara,sans-serif] June,2014[/FONT][/SIZE][/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]We will appreciate your timely cooperation on this matter, [/FONT]
[FONT=Candara,sans-serif]Thanks[/FONT]



Maurice Takero

International Staffs Coordinator-East Africa

Scientist International Organization

Email: mauricetakero@scientist.com

Scientist.com



[/SIZE][/FONT]
 
hao ni matapeli dada,wamenitumia email niwawekee hela kwenye account yao ya kcb,waepuke sana

Mnataka kusaidiwa LAKINI mnaficha VITAL INFORMATION kama e-mail address iliyotuma huo ujumbe, Bank & A/C No. Sasa mtasaidiwa vipi? Kheri mngetapeliwa ndio mkatia akili kichwani BURE KABISA!
 
Mnataka kusaidiwa LAKINI mnaficha VITAL INFORMATION kama e-mail address iliyotuma huo ujumbe, Bank & A/C No. Sasa mtasaidiwa vipi? Kheri mngetapeliwa ndio mkatia akili kichwani BURE KABISA!

Yaani sijui taratibu za benk zikoje ningeshauri hizo akaunt zao waziblock ili kama kuna watu ambao wameshanasa pengine sijui watasaidiwaje kupata hela zao. Inaudhi sana!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom