takribani mwezi umeisha hakuna lolote linaloendelea udom kwa wale tuliomba scholorships ya masters na phd on improving basic literacy! kwa yoyote aliye na taarifa kuhusu hatima ya 50000/= zetu tulizofanyia application kuwa ndo zimeliwa au??ili nijue nafanyaje mabadiliko
takribani mwezi umeisha hakuna lolote linaloendelea udom kwa wale 888 scholorships ya masters na phd on improving basic literacy! kwa yoyote aliye na taarifa kuhusu hatima y9a 50000/= zetu tulizofanyia application kuwa ndo zimeliwa au??ili nijue nafanyaje mabadiliko
si umeshaCONCLUDE NI UTAPELI MTUPU sasa unataka taarifa za ziada za nini.... sample ya akili za baadhi wasomi wetu hizi....
PATIENCE NI MSAMIATI MGUMU......