Scania 94/310 for Sale

Mfikilwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2008
Posts
412
Reaction score
123
Scania 94 ya nguvu wateja
 
Kwanini mnaziita ivyo mkuu?
Sababu zina diff moja. Bonge la mlori lakini mguu mwembamba (mmoja). Kuna zingine zinaitwa HADIJA KOPA. hizi ni zile zenye double diff lakini unakuta diff ziko mbali nyuma ya cabin. Hizi sanana ni scania 113. Ni hadija kopa sababu ikikwama kwenye tope au mchanga haiwezi kujinasua yenyewe, mpaka ivutwe.
Upo hapo? je unazijua Tandam? kwa nini zinaitwa vile?
unazifahamu Nyama choma?
 

Kwa nini zinaitwa tandam, nataka kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…