brobiz
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 584
- 768
Waungwana kuna jamaa nilipokea email yake kajitambulisha kama frenk adam kutoka burkinafaso anadai yy ni bank meneger na shida yake ilikuwa kutrassfer pesa kwenda kwenye account za nje,nilichat naye sana lkn ckuwah kbs kum2mia acc.nikiamin inawezekan ndo wanaitumia kukomba pesa zilizomo lkn kwa kigezo hicho kilichonitatiza ni kwamb mbona kuna acc.nying za benk hususan za taasisi mbalx2 zinakuwa public kwa nn hawa scammer waczi2mie kukomba pesa zilizomo?sasa hiv huyu jamaa kanitumia email nyingine anadai kafanikiwa kutransfer hizo pesa kwahiyo anahitaj detail zangu kam vile ful name,adress,telephon no,occapation,etc ili anitumie pesa ambazo yy anadai ni za compesation na nilichokifanya nimemtumia no.ya cm ili anitumie hizo pesa kwa njia ya WESTEN UNION nikiamin kwa njia hiyo hawezi kuniibia,tafadhal kwa yeyote anayefahamu atujuze yafuatayo:
1.email wanatoa wap?
2.tecnolojia gan wanatumia kukomba pesa kwenye acc?
1.email wanatoa wap?
2.tecnolojia gan wanatumia kukomba pesa kwenye acc?