squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,193
Tiishikuru ccm ya awamu hii kwa kuwezesha haya yote.Kwanini haya matukio yanaongozana sana nyakati hizi?
Tiishikuru ccm ya awamu hii kwa kuwezesha haya yote.Kwanini haya matukio yanaongozana sana nyakati hizi?
Ishara nzuri natumainiEndeleeni tu kuangalia juu angani, karne hii kuna mengi sana mtayashuhudia huko angani, ombeni tu uzima kwa kipindi cha miaka 10 kuanzia sasa. Tunaoisoma Biblia tunajua nini kinafuatia baada ya ishara za angani kutimia zote.
Bado kuna ishara za ajabu zitatokea huko angani na kuwapoteza wengi sana.
huu uzi mzuri sanaAsante sana
Walokole mna visa sana.Endeleeni tu kuangalia juu angani, karne hii kuna mengi sana mtayashuhudia huko angani, ombeni tu uzima kwa kipindi cha miaka 10 kuanzia sasa. Tunaoisoma Biblia tunajua nini kinafuatia baada ya ishara za angani kutimia zote.
Bado kuna ishara za ajabu zitatokea huko angani na kuwapoteza wengi sana.
nikiangaliaga huo ueusi universe Mungu ni wakutukuzwa wee angaloa Jupiter ilivyo ndogo ndani ya universe na ndiyo ssyari kubwa.Leo Mwezi uko jirani na Mstarii (Jupiter). Kuza sehemu ulipo Mwezi katika picha hii utaiona hiyo sayari
Zuhura (Venus) inangaa sehemu ya chini ya picha hii.
Angani nje Mirihi inan'gaa sana anga ya mashariki.
View attachment 839490View attachment 839490
Una nyege na mimi eeh?nikiangaliaga huo ueusi universe Mungu ni wakutukuzwa wee angaloa Jupiter ilivyo ndogo ndani ya universe na ndiyo ssyari kubwa.
Kuna mambo mengi sana hatuyajui. Yesu atapata wakati mgumu sana wa kujibu mtiririko na mfululizo wa maswali tutskapochaguliwa.
Cc: Freemason lililokubuhu Kiranga
hizi ngano bana sasa tutafanyaje ni imani. Ni kama wale malaika mbinguni wakati wa nuhu walikuwa wakiwapiga chabo mabinti wakioga. Wakashindwa kujizuia nakushuka chini na kutandaza miti na kuwazalisha mijitu mikubwa mionevu na mibabe. Mungu akamaindi akaamua kuleta gharika. Mwanzo nadhanihayo ni macho ya ya baadhi ya wale wazee 24 waliotajwa kwenye biblia wakiangalia kwa ukaribu kinachoendelea dunuani.
naota
tulia wewee. Yani bro unajiribia future life after death kwa kutoamini Mungu hayupoUna nyege na mimi eeh?
Unaelewa "kutoamini Mungu hayupo" ni kuamini Mungu yupo we guluguja ngumbaru?tulia wewee. Yani bro unajiribia future life after death kwa kutoamini Mungu hayupo