Sayansi ya hoja na mantiki katika Escrow Account

Sayansi ya hoja na mantiki katika Escrow Account

WEWE UMEKARIRI MADESA, HATA UNAPOONGEA KITU IQ HAUJUI MSINGI WAKE.HATUWEZI KU ARGUE NISHAKUSOMA UELEWA WAKO.POLE.
jifunze kuandika! maskini, mpaka unatia huruma. keep on replying!!
 
Pesa si za umma sawa..ni katika mazingira yapi mwenye pesa akagawa kama zilivyogaiwa?hoja ya PAC haikupata nguvu et kwa sababu wananch hawakuelewa ukweli...ilipata nguvu katika namba ya utokaji wa pesa hizo..ugawaji wake na majina ya waliopata mgao huo


Kama pesa hizo mmilik angeamua kuzitoa na kugawa katika utaratibu wa kawaida kabisa wa kifedha ..na waliogaiwa kuzipokea katika namba ya kawaida ..hoja ya PAC ingepungua uzito wake....logically utoaj na ugawaji wa pesa umethibitisha uharamu wa pesa hizo
 
Ningefurahi kama watu pia wangepewa majina ya waliogawana pale stanbic, mbona inaendelea **** siri!! Akaunti inafunguliwa leo na kesho yake imefungwa, 1.6 imetolewa yote!!
 
Pesa si za umma sawa..ni katika mazingira yapi mwenye pesa akagawa kama zilivyogaiwa?hoja ya PAC haikupata nguvu et kwa sababu wananch hawakuelewa ukweli...ilipata nguvu katika namba ya utokaji wa pesa hizo..ugawaji wake na majina ya waliopata mgao huo


Kama pesa hizo mmilik angeamua kuzitoa na kugawa katika utaratibu wa kawaida kabisa wa kifedha ..na waliogaiwa kuzipokea katika namba ya kawaida ..hoja ya PAC ingepungua uzito wake....logically utoaj na ugawaji wa pesa umethibitisha uharamu
wa pesa hizo

Kumauka MWENYE PESA ALIGAWA KIHALALI NA HILO LILITHIBITISHWA NA STATEMENT YA BENKI YA MKOMBOZI.NI KWELI NI HALALI UCHUNGUZI UFANYIKE KUJUA NI KWA NINI WAHUSIKA WALIPEWA ZILE HELA JAPO KESI YA MSINGI ILIKUWA NI WIZI WA FEDHA ZA UMMA NA HATIMAYE KUBAINIKA HAZIKUWA.
 
Kumauka MWENYE PESA ALIGAWA KIHALALI NA HILO LILITHIBITISHWA NA STATEMENT YA BENKI YA MKOMBOZI.NI KWELI NI HALALI UCHUNGUZI UFANYIKE KUJUA NI KWA NINI WAHUSIKA WALIPEWA ZILE HELA JAPO KESI YA MSINGI ILIKUWA NI WIZI WA FEDHA ZA UMMA NA HATIMAYE KUBAINIKA HAZIKUWA.

Hivi watu kama hawa wapo bongo hii.
 
Namna ya kufikiri unaweza ukaanza na mambo mengi ukayachambua kupata machache (deductive)

Au anza na mambo machache au moja kutapata jambo kubwa au mengi (inductive)


Tuanze na jambo moja au dogo ili tupate jambo kubwa(escrow) katika maana ya msingi ambayo si o pesa za umma au si za umma ila ni uharamu wapesa wenyew..

Maswali mmdogo yafuatayo ambayo source yake ni matokeo ya escrow akount yanaweza kutusaidia kuuona uharamu wa pesa za escrow



1.katika hali gani inaweza kuwa kawaida waziri wa serikali iliyopo madarakani akapewa kiasi kikubwa cha pesa kama kile?..bl 1.6
2.kwa nini mgao wote wa pesa umewahusisha watu ambao wenye ushawishi katika maamuzi ya kiserikali na jamii?

3.Ni sababu zipi katika pesa iliyohalali watu hao wakashindwa kulipa kodi?

4..kuna sababu zipi katika mtitiriko huo wa utoaji pesa mpaka mgao wenyewe kila hatua ikagubikwa na mambo yasiyo ya kawaida?

5.kikwete kama mwenyekiti wa c.c.m maneno yake hayawezi kua ya mwisho katika kuthibitidha pesa ni za umma au si za umma...kifupi ni jibu gani unategemea toka kwake?
....mwisho ifike sehemu watanzania kutumia elimu zetu kiukombozi kama elimu yenyew inavyotaka..sayansi iliyorumiwa ya hoja ungekua na maana sana kama ingetumika katika kuueneza ukweli
 
Namna ya kufikiri unaweza ukaanza na mambo mengi ukayachambua kupata machache (deductive)

Au anza na mambo machache au moja kutapata jambo kubwa au mengi (inductive)


Tuanze na jambo moja au dogo ili tupate jambo kubwa(escrow) katika maana ya msingi ambayo si o pesa za umma au si za umma ila ni uharamu wapesa wenyew..

Maswali mmdogo yafuatayo ambayo source yake ni matokeo ya escrow akount yanaweza kutusaidia kuuona uharamu wa pesa za escrow



1.katika hali gani inaweza kuwa kawaida waziri wa serikali iliyopo madarakani akapewa kiasi kikubwa cha pesa kama kile?..bl 1.6
2.kwa nini mgao wote wa pesa umewahusisha watu ambao wenye ushawishi katika maamuzi ya kiserikali na jamii?

3.Ni sababu zipi katika pesa iliyohalali watu hao wakashindwa kulipa kodi?

4..kuna sababu zipi katika mtitiriko huo wa utoaji pesa mpaka mgao wenyewe kila hatua ikagubikwa na mambo yasiyo ya kawaida?

5.kikwete kama mwenyekiti wa c.c.m maneno yake hayawezi kua ya mwisho katika kuthibitidha pesa ni za umma au si za umma...kifupi ni jibu gani ulitegemea toka kwake?
....mwisho ifike sehemu watanzania kutumia elimu zetu kiukombozi kama elimu yenyew inavyotaka..sayansi iliyorumiwa ya hoja ungekua na maana sana kama ingetumika katika kuueneza ukweli
 
Namna ya kufikiri unaweza ukaanza na mambo mengi ukayachambua kupata machache (deductive)

Au anza na mambo machache au moja kutapata jambo kubwa au mengi (inductive)


Tuanze na jambo moja au dogo ili tupate jambo kubwa(escrow) katika maana ya msingi ambayo si o pesa za umma au si za umma ila ni uharamu wapesa wenyew..

Maswali mmdogo yafuatayo ambayo source yake ni matokeo ya escrow akount yanaweza kutusaidia kuuona uharamu wa pesa za escrow



1.katika hali gani inaweza kuwa kawaida waziri wa serikali iliyopo madarakani akapewa kiasi kikubwa cha pesa kama kile?..bl 1.6
2.kwa nini mgao wote wa pesa umewahusisha watu ambao wenye ushawishi katika maamuzi ya kiserikali na jamii?

3.Ni sababu zipi katika pesa iliyohalali watu hao wakashindwa kulipa kodi?

4..kuna sababu zipi katika mtitiriko huo wa utoaji pesa mpaka mgao wenyewe kila hatua ikagubikwa na mambo yasiyo ya kawaida?

5.kikwete kama mwenyekiti wa c.c.m maneno yake hayawezi kua ya mwisho katika kuthibitidha pesa ni za umma au si za umma...kifupi ni jibu gani ulitegemea toka kwake?
....mwisho ifike sehemu watanzania kutumia elimu zetu kiukombozi kama elimu yenyew inavyotaka..sayansi iliyorumiwa ya hoja ungekua na maana sana kama ingetumika katika kuueneza ukweli
 
Kama ni za iptl tangu lini pesa za private company zikae bot akili ya kuambiwa changanya na yako hayaa kakojoe ulale
 
Kama ni za iptl tangu lini pesa za private company zikae bot akili ya kuambiwa changanya na yako hayaa kakojoe ulale


Wewe nawe unameza vibayaaa!Nani kakwambia kuwa hela za private companies hazikai benki kuu?Kwanza yalikuwa ni matakwa ya mkataba wao.Pili mbona benki zinahifadhi mahela yao huko?NA HAYO MAHATI FUNGANI WANAYOUZA?
 
Back
Top Bottom