Hapana, usi-generalize..wewe ukiitwa hadharani "wewe mtu mweusi" njoo mbele utasema umepewa sifa? hiyo siyo sifa ni ubaguzi, hata mtoto uliyemzaa huwezi kumuita "we mtoto" sababu hilo si jina lake, watanzania tuwe wastaarabu.Uzungu sio ubaguzi acheni ujinga. We always tunatumia uzungu kama sifa njema na sio kejeli, BOSI WANGU MZUNGU SANA, DAH JAMAA KAMA MZUNGU nk
hajui mpira sasaKinachoendelea dhidi ya Mshambuliaji wa simba, sio sawa wala huu sio ushabiki ni ubaguzi na upumbavu wa hali ya juu!
Sijui uko alipo anajiskiaje huyu mwamba!
kibinadamu sio fair kabisa hii
Kuna mwenzako kaanzisha uzi kabisa anamuita mzungu koko.Uzungu sio ubaguzi acheni ujinga. We always tunatumia uzungu kama sifa njema na sio kejeli, BOSI WANGU MZUNGU SANA, DAH JAMAA KAMA MZUNGU nk
Kwa hiyo anavyofanyiwa Manara ni sahihi? Kazi ipo asee..Kwahiyo ubaguzi unakuja kwa kuwa ye ni mzungu au, mbona manara ashafanyiwa hivo sana tu
Mie pia nipo naeKinachoendelea dhidi ya Mshambuliaji wa Simba, sio sawa wala huu sio ushabiki ni ubaguzi na upumbavu wa hali ya juu!
Sijui uko alipo anajiskiaje huyu mwamba!
Kibinadamu sio fair kabisa hii
Mbona manara humu makolo uwa mnamuita majina yasiyostahili kutokana maradhi yake ngoziKuna mwenzako kaanzisha uzi kabisa anamuita mzungu koko.
Neamzisha Uzi Jana kuhusu hili nautafuta siuoni.Kinachoendelea dhidi ya Mshambuliaji wa Simba, sio sawa wala huu sio ushabiki ni ubaguzi na upumbavu wa hali ya juu!
Sijui uko alipo anajiskiaje huyu mwamba!
Kibinadamu sio fair kabisa hii
Kazi ipo ya nn acha kuleta ujuaji, hao wanaolalamika hapa wengi wao ndo wanaongoza kumbully manara, wengine wakimuita mzungu pori, ndo nawaambia mbona kwa huyo hawajawahi kuona ni ubaguzi au Kwa kuwa huyu ni mzunguKwa hiyo anavyofanyiwa Manara ni sahihi? Kazi ipo asee..
Kwahiyo mnalipiza kwa Dejan ?yanayoendelea Ulaya dhidi ya blacks kwenye soka huoni?