Say No to Racims, nasimama na Dejan Georgijevic

Uzungu sio ubaguzi acheni ujinga. We always tunatumia uzungu kama sifa njema na sio kejeli, BOSI WANGU MZUNGU SANA, DAH JAMAA KAMA MZUNGU nk
Hapana, usi-generalize..wewe ukiitwa hadharani "wewe mtu mweusi" njoo mbele utasema umepewa sifa? hiyo siyo sifa ni ubaguzi, hata mtoto uliyemzaa huwezi kumuita "we mtoto" sababu hilo si jina lake, watanzania tuwe wastaarabu.
 
Kinachoendelea dhidi ya Mshambuliaji wa simba, sio sawa wala huu sio ushabiki ni ubaguzi na upumbavu wa hali ya juu!

Sijui uko alipo anajiskiaje huyu mwamba!

kibinadamu sio fair kabisa hii
hajui mpira sasa
 
Uzungu sio ubaguzi acheni ujinga. We always tunatumia uzungu kama sifa njema na sio kejeli, BOSI WANGU MZUNGU SANA, DAH JAMAA KAMA MZUNGU nk
Kuna mwenzako kaanzisha uzi kabisa anamuita mzungu koko.
 
Kinachoendelea dhidi ya Mshambuliaji wa Simba, sio sawa wala huu sio ushabiki ni ubaguzi na upumbavu wa hali ya juu!

Sijui uko alipo anajiskiaje huyu mwamba!

Kibinadamu sio fair kabisa hii
Neamzisha Uzi Jana kuhusu hili nautafuta siuoni.
 
Back
Top Bottom