ahsanteni wadau, ndio tunatua hapa Dar muda huu,saa 6:34 usiku! Tumecheleweshwa kwa masaa 14! Only in tanzaia, ilikuwa ni ndege (please wait) PW 0415 !
Usiku mwema wanafamilia wa JF,
Pole sana. Ila wenzako tushaachana kabisa na PW kwa safari za hapa nchini. Lbda kwenye route kama MWZ-JRO