Wadau,leo nilipata safari ya kutoka mwanza kwenda dar kwa usafiri wa precission, ndege ilikuwa iondoke saa 6.20 mchana, wakahairisha mpaka saa 7.50, wakahairisha mpaka saa 20.40 na sasa ni saa 20.28 wametuambia itafika saa 22.00. Ikumbukwe watu iliokuwa waondoke hapa mwanza kwenda dsm jana tarehe 31.12.2013 walikwamishwa ikawabidi waondoke siku ya mwaka mpya! Si mara ya kwanza kwa watu kuja humu jamvini na kuulalamikia usafiri huu,!inasikitisha sana kwa huu usafiri! Ni hayo tu kwa leo!
Happy new year wanafamilia wa JF!
Happy new year wanafamilia wa JF!