Inabidi tuseme ukweli kufika final za champions league kwa africa ujiandae kuajiri kocha wa kulipwa $40000 kwenda juu.kocha wa makombe, kocha wa soka la kasi zitapigwa pasi mpaka msinzie, kocha la bei mbaya
naunga mkono hojaInabidi tuseme ukweli kufika final za champions league kwa africa ujiandae kuajiri kocha wa kulipwa $40000 kwenda juu.
Yaani wee tenga million 200 za benchi la ufundi kila mwezi.
Kwa hiyo kambi ya Misri haikua na tija, au! Maana Yanga walichekwa na kukejeliwa humu jukwaani kwa kuweka kambi Avic Town Kigamboni!Tactics, combination, balance, Technic,..vyote tumefeli .
Haya maswali huonekana humu jukwaani pale tu simba ikifungwa! Ikishinda, huwezi kuyaona. Mashabiki wa simba mnatakiwa kuwa wavumilivu.Hivi Matola ana kazi gani hapo Simba.
Kocha mpya hana uchungu na mechi za Dabi.
Ilitakiwa Matola anayeijua Simba amshauri wachezaji wanaotakiwa kucheza kutokana na anavyo waona kwenye Mazoezi.
Lingine kwa muda huu Yanga ipo vizuri sana.
Simba walikata Pumzi kabisa kipindi cha pili
waja mna manenomilivyomuana hana kisogo nikajua tu huyu anamatatizo ya akili.