SAUZI: Kama una marasta tafuta bouncer....

SAUZI: Kama una marasta tafuta bouncer....

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,509
Reaction score
911,250
Wizi wa nywele za aina ya marasta umechachamaa sana Sauzi na wezi wakikukuta wanakutia chini ya ulinzi na wanatembea na mkasi na kukunyoa bila ya ridhaa yako kisha hutoweka kusikojulikana...

Kutokana na kupanda kwa bei za kusukwa marasta bandia kwenye masaluni basi wezi nao wamegundua hilo soko na kuwaweka wenye marasta kwenye njia panda..........

Wanaokwenda kwenye masaluni hutaka wasukwe ila hawataki kuzilea hizo nywele kwa madai huchukua siku nyingi na kazi kubwa.............yaweza kuchukua hata miaka zaidi ya kumi kuwa na marasta mengi.........

Kwa khabari zaidi jisomee.............usije ukazipoteza zako na hata yule mlengwa akaingia mitini...lol

The South African hair thieves targeting dreadlocks
 
Basi kama ni hivyo natumaini hata Lucky Dube hakuzikwa na nywele zake!

Ndallo watakuwa walizimvua au hata kusubiri azikwe khalafu wakamdamkia usiku na kumkata ...iko shida sana na hii mihela..
 
mnhhhhhhhhh...

The Boss ni kujihami kama umezifuga na kuwanazo kwa miaka mingi....zinavyokuwa ndefu na soko lake linakuwa kubwa......vinginevyo ni kutokuwa nazo au hata kuaajiri "bouncer" akulide usije ukadakwa tena mchana na watu wanapita bila ya kutoa msaada wowote ule...
 
mnhhhhhhhhh...

The Boss ni kujihami kama umezifuga na kuwanazo kwa miaka mingi....zinavyokuwa ndefu na soko lake linakuwa kubwa......vinginevyo ni kutokuwa nazo au hata kuaajiri "bouncer" akulinde usije ukadakwa tena mchana na watu wanapita bila ya kutoa msaada wowote ule...
 
Wizi wa nywele za aina ya marasta umechachamaa sana Sauzi na wezi wakikukuta wanakutia chini ya ulinzi na wanatembea na mkasi na kukunyoa bila ya ridhaa yako kisha hutoweka kusikojulikana...

Kutokana na kupanda kwa bei za kusukwa marasta bandia kwenye masaluni basi wezi nao wamegundua hilo soko na kuwaweka wenye marasta kwenye njia panda..........

Wanaokwenda kwenye masaluni hutaka wasukwe ila hawataki kuzilea hizo nywele kwa madai huchukua siku nyingi na kazi kubwa.............yaweza kuchukua hata miaka zaidi ya kumi kuwa na marasta mengi.........

Kwa khabari zaidi jisomee.............usije ukazipoteza zako na hata yule mlengwa akaingia mitini...lol

The South African hair thieves targeting dreadlocks

Duh, this is too much oooh!
 
snowhite nilikuwa nimepanga nikupeleke Jo'burg kwa easter; so you still want to go?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom