labda tatizo ni kuchukua sheria mkononi kwenye ndogondogo ,tuchukue sheria mkononi kwenye kubwa kama escrow,sasa hata ukitaka kufuata mkondo wa sheria ni kazi bure majaji wenyewe wengi wao ni wala rushwa, refer to escrow scandal
Ndio hivyo kuchomaa gari haisaidii .Sijaona. watu wanaandamana kuhusu escrow.Kisheria bodaboda wamefanya kosa.