Sauti za milipuko Boko usiku huu

Sauti za milipuko Boko usiku huu

Madcheda

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
423
Reaction score
69
Kwa anayejua atujuze kuna sauti za milipuko mikubwa maeneo ya boko na Bunju. Pia vingora tunavisikia Kwa mbali. Kwa anayejua atujuze nn kinaendelea
 
Nipo Bunju nimesikia boda boda ikipita hapa kwangu muda huu kwa kasi huku dreva wake akisema "vinalika huko" .......na kweli nimesikia milipuko mara kadhaa ......
 
Hiki kipindi usalama umekuwa mdogo mno....sisi kama walipa kodi tunao wajibu wa kudai Jeshi la polisi kuhakikisha usalama......doria hazisaidii na hali ya Dar es salaam inazidi kuwa mbaya.....
 
Nasikia kuna tifu polisi na bodaboda. Mnamo mida ya jioni Ijumaa hii, kuna V8 ya kigogo serikalini ilipasuka tairi maeneo ya Bunju B ikaweweseka na kuilamba bodaboda iliyokuwa imefiungasha "mshkaki" na kuwamaliza watu wale.

Basi bodaboda wakavamia na kulichoma V8 hadi majivu. Sasa usiku huu limekuwa linaendeshwa timbwili na polisi kuwasaka na kuwakamata watuhumiwa na ikawabidi polisi kutumia za moto kukabiliana na ushirika wa bodaboda.
 
Hebu mwenye taarifa atujuze jamani, maana nikumbuka ya Gongolamboto na Mbagala sitaki kabisa jambo lile litokee tena.
Ova
 
Nasikia kuna tifu polisi na bodaboda. Mnamo mida ya jioni Ijumaa hii, kuna V8 ya kigogo serikalini ilipasuka tairi maeneo ya Bunju B ikaweweseka na kuilamba bodaboda iliyokuwa imefiungasha "mshkaki" na kuwamaliza watu wale.

Basi bodaboda wakavamia na kulichoma V8 hadi majivu. Sasa usiku huu limekuwa linaendeshwa timbwili na polisi kuwasaka na kuwakamata watuhumiwa na ikawabidi polisi kutumia za moto kukabiliana na ushirika wa bodaboda.

Hii nchi kila mtu ni mbabe tu, watu washachoka kuwa waungwana sasa maana wanajihisi kama uungwana wao unawafanya waburuzwe. Bodaboda wanechoma moto gari kibabe na sasa mwenye gari anawasaka kibabe. Utemi kama huu huwa ni dalili mbaya sana.
Ova
 
Nasikia kuna tifu polisi na bodaboda. Mnamo mida ya jioni Ijumaa hii, kuna V8 ya kigogo serikalini ilipasuka tairi maeneo ya Bunju B ikaweweseka na kuilamba bodaboda iliyokuwa imefiungasha "mshkaki" na kuwamaliza watu wale.

Basi bodaboda wakavamia na kulichoma V8 hadi majivu. Sasa usiku huu limekuwa linaendeshwa timbwili na polisi kuwasaka na kuwakamata watuhumiwa na ikawabidi polisi kutumia za moto kukabiliana na ushirika wa bodaboda.


Aisee....

kazi ipo.
 
Nasikia kuna tifu polisi na bodaboda. Mnamo mida ya jioni Ijumaa hii, kuna V8 ya kigogo serikalini ilipasuka tairi maeneo ya Bunju B ikaweweseka na kuilamba bodaboda iliyokuwa imefiungasha "mshkaki" na kuwamaliza watu wale.

Basi bodaboda wakavamia na kulichoma V8 hadi majivu. Sasa usiku huu limekuwa linaendeshwa timbwili na polisi kuwasaka na kuwakamata watuhumiwa na ikawabidi polisi kutumia za moto kukabiliana na ushirika wa bodaboda.

Panya road wanapambana na Mbwa mwitu.... polisi imeingilia..!!!

Ndio ugumu uliopo kwa kupata taarifa muhimu za matukio ya kushtusha Bongo, ona hawa wote ni wakazi Bunju na kila mmoja ana taarifa yake. Sasa hapa sijui tushike lipi?!
Ova
 
Nasikia kuna tifu polisi na bodaboda. Mnamo mida ya jioni Ijumaa hii, kuna V8 ya kigogo serikalini ilipasuka tairi maeneo ya Bunju B ikaweweseka na kuilamba bodaboda iliyokuwa imefiungasha "mshkaki" na kuwamaliza watu wale.

Basi bodaboda wakavamia na kulichoma V8 hadi majivu. Sasa usiku huu limekuwa linaendeshwa timbwili na polisi kuwasaka na kuwakamata watuhumiwa na ikawabidi polisi kutumia za moto kukabiliana na ushirika wa bodaboda.
attachment.php
IMG20141212WA0008.jpg
 
Hii nchi kila mtu ni mbabe tu, watu washachoka kuwa waungwana sasa maana wanajihisi kama uungwana wao unawafanya waburuzwe. Bodaboda wanechoma moto gari kibabe na sasa mwenye gari anawasaka kibabe. Utemi kama huu huwa ni dalili mbaya sana.

Ova[/Q
mbwa kala mbwa
 
Suala la watanzania kuchukua sheria mkononi sio zuri
labda tatizo ni kuchukua sheria mkononi kwenye ndogondogo ,tuchukue sheria mkononi kwenye kubwa kama escrow,sasa hata ukitaka kufuata mkondo wa sheria ni kazi bure majaji wenyewe wengi wao ni wala rushwa, refer to escrow scandal
 
Back
Top Bottom