Sauti Kubwa: Magufuli anatumia uwanja wa ndege Chato “kupiga dili”?

hoja ujibiwa kwa hoja si kwa watu wasiojulikana
 
Tatizo la mh anataka kupiga yeye tu kila kitu wakipiga wenzake utasikia pesa ya awamu ya tano hailiwi mtaitapika, wakati yeye anapiga kimya kimya kama hivi akiulizwa anakuwa mkali
 
IMBA NA MIMI: Magufuli akifaa, mimi siwezi kuliaaa

"Nitamtupa Kagera, awe chakula cha Mamba"
 
Gharama za ukimbizi siyo mchezo!
Sasa umeamua kuwa toilet paper ,ngoja utumike!
Ila kumbuka Magufuri ni ccm, jiandae kufia ukouko ugaibuni!
 
IMBA NA MIMI: Magufuli akifaa, mimi siwezi kuliaaa

"Nitamtupa Kagera, awe chakula cha Mamba"
Dah....kama mmefika hadi huku...Pasipo na shaka yoyote ni wazi mmeshikwa pabaya na hamna tena Hoja za maana kwa watanzania....na watanzania tunawaona mjue...
 
Shauri yako mungu anakuona ujue.
Hata akiniona hawezi kunifanya kitu, ndio maana mtumishi wake ibilisi katili Magu anatamani damu yangu kama alivyochukua za kina AZORY, BEN SAANANE, AKWILINI, na wengine lakini Mungu wangu ananipigania na kumuumbua kila leo !
 

Hakuna hoja hapa....
 
Anzia nyumbani kwenu hapo unyumbuni, bilioni 7 zilipigwa na mbowe
Siyo nyumbani kwangu kwasababu siko kwenye siasa. Wengine tunasikia tu mnavyotafuna nchi na wengine wanaona. Kuna wenye uelewa kiduchu sana ambao mnatumika tu kama tissues. Adui wetu mkubwa kwa Taifa ni ujinga wenu. At the same token, huo ujinga ndo mtaji wa watawala ambao nao wajanja katika wajinga. Maana wenye akili hawawezi kufanya mnayofanya, na ambayo mmekuwa mkifanya ever since we gained our independence from Britain.

Bado ninaamini hatujawahi kupata viongozi wa kweli. Wengi wenu ni vilaza tu na walafi sana. Endelezeni ujinga wenu tu maana ndo mmezoea.
[HASHTAG]#hovyokabisa[/HASHTAG]
 
Mnaotumiwa ba mabwanyenye mmeshikwa pabaya awamu hii. Mnaleta habari za kufikirika zisizo na ushahidi halisi. Vumilieni tu kasindano kaingie wajameni

We kwa akili zako unaona sawa kujengwa kwa uwanja wa ndege wenye hadhi ya kimataifa kijijini Chato.. Atautumia nani?
 
duh mbona majuzi tu nilimsikia mwenyewe anaelezea historia yake alipotembelea pale mkwawa university kwamba 1977_1978 alisoma pale A'level we unatwambia alisoma Lake sec i smell fishy here
 
Dah....kama mmefika hadi huku...Pasipo na shaka yoyote ni wazi mmeshikwa pabaya na hamna tena Hoja za maana kwa watanzania....na watanzania tunawaona mjue...
Ni kweli KUPIGWA 2.6 Trillion si mchezo plus kupigwa risasi 38 mchana wa jua kali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…