GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,402
Saut Sol wawataka wakenya wajiangalie kwa kuwaambia kwamba.
"Barua toka Jaramogi na Kenyatta,
Wanauliza kama Kenya kuko sawa,
Nikawajibu Kenya tuko na disaster,
Watoto wetu wanazidi kuzikana,
Na Tom Mboya ameshika tama,
Alituacha kama angali kijana,
Je angekuwa mambo yangekuwa sawa?
Ndivyo alivyopanga maulana,
Deni mlioacha bado hatujalipa,
Na tumekopa zingine China
Tukajenga reli pia barabara,
Zilizobaki watu wakasanya.
So tujiangalie
Tupo pabaya Leo kuliko Jana
Tusipo ziba ufa tutajenga kuta
Sikio la kufa halisikii dawa
Tupo kwa twitter tunajibizana.
HONGERENI SAUT SOL KWA WIMBO MZURI ULIOBEBA UJUMBE MZURI KWA WAKENYA.
"Barua toka Jaramogi na Kenyatta,
Wanauliza kama Kenya kuko sawa,
Nikawajibu Kenya tuko na disaster,
Watoto wetu wanazidi kuzikana,
Na Tom Mboya ameshika tama,
Alituacha kama angali kijana,
Je angekuwa mambo yangekuwa sawa?
Ndivyo alivyopanga maulana,
Deni mlioacha bado hatujalipa,
Na tumekopa zingine China
Tukajenga reli pia barabara,
Zilizobaki watu wakasanya.
So tujiangalie
Tupo pabaya Leo kuliko Jana
Tusipo ziba ufa tutajenga kuta
Sikio la kufa halisikii dawa
Tupo kwa twitter tunajibizana.
HONGERENI SAUT SOL KWA WIMBO MZURI ULIOBEBA UJUMBE MZURI KWA WAKENYA.