Mwisho wa yote chuo na RAS wameingia mkataba na watu cantin ili wanafunzi wale chakula kwa mkopo na hela ikifika watapaswz kulipa, inasikitisha sana. Hata hivyo maswali machache yanaibuka je
1. Mkopo utafika lini 2. Chakula wanachukla kwa mkopo utamaliza mahitaji yote ya msingi kwa wanafunzi hasa watoto wa kike 3. Kama mkopo hautakuja ndani ya siku saba zijazo, nini mstakabali wa harakati za kuondoa maambukizi ya ukimwi katika chuo cha SAUT MTWARA
Mbaya zaidi mitihani ya chuo itaanza tarehe 1 julai na kumalizika tarehe 12 july. Je hawa vijana ambao ni watototo waliowengi wa masikini mstakabli wwake nini ni kama hawahishiwa mikopo yao? MUNGU IBARIKI TZ! MUNGU KIBARIKI CHUO SAUT MTWARA(STEMMUCO)