FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 93,101
- 109,504
Kwa jinsi tunavyokwenda itafika mahali tutakubaliana, labda niweke sawa kuhusu mkorogo, hapa sikumaanisha kuwa kwenye ukoo wetu hakuna hanayetumia maana ukoo ni kitu chenye marefu na mapana yake. Hapa nilimaanisha kuwa familia ya Bwana na Bibi Kyenju hakuna mtu anayetumia mkorogo.
Ahaaaa, kwa hiyo hao katika ukoo wako wanaotumia mkorogo ili wawe kama watu weupe, wanawabaguwa nyinyi kwa kuwa ni weusi? au wanawapenda sana watu weupe hata wao wawe kama wao?
Ndipo niliposema, akili za samaki.