SAT Finder nzuri ni ya kampuni gani?

SAT Finder nzuri ni ya kampuni gani?

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,361
Reaction score
6,967
Habarini wajuzi wa technoloji,

Naulizia ni sat finder ipi ni nzuri na bei zake zimekaaje hapa bongo?
 
Nzuri ni ya digital, ila bei yake imesimam kdogo. Kama uko dar njoo nikuuzie ya kwangu Analog (very cheap).
 
Nzur ni ya digital, ila bei yake imesimam kdogo.Kama uko dar njoo nikuuzie ya kwangu Analog (very cheap).
Nataka digital mimi.

Digital za Nasikia Gt media, izo digital bongo bei yake ipoje maana alibaba zinapatikana kwa 150k.
 
Kwani haiwezekani kutumia simu kutafutia setilaiti. ( kwenye google store)
 
Back
Top Bottom