sasa yupi mjanja !

Hivi siku hz Club ndio watu wanafungia NDOA? Naombeni mnijuze jamani, ushamba na uzee wangu huu, mambo inawezekana yamebadilika sana.

Hiko chuo ni hv vya kwetu vya St. Kanumba? Maana u can discuss the test na hukufanya, inamaana hata matokeo mnaweza discuss. Na hao lecturers hawana ratiba? Wanamuda mwingi sana....
no biggie this is just a joke!
 
Back
Top Bottom