EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
- Thread starter
- #21
inawezekana walitaka kujalibu bahati yao !!!!!!!!Ningemwambia Teacher yaishe Bana
inawezekana walitaka kujalibu bahati yao !!!!!!!!Ningemwambia Teacher yaishe Bana
no biggie this is just a joke!Hivi siku hz Club ndio watu wanafungia NDOA? Naombeni mnijuze jamani, ushamba na uzee wangu huu, mambo inawezekana yamebadilika sana.
Hiko chuo ni hv vya kwetu vya St. Kanumba? Maana u can discuss the test na hukufanya, inamaana hata matokeo mnaweza discuss. Na hao lecturers hawana ratiba? Wanamuda mwingi sana....
no biggie this is just a joke!
hapo noma
ticha katumia busara sana, njia ya mwongo ni fupi!
Ticha kichwa.. ndo maana alikubali kirahisi. Mtihani zero.