EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
kuna wanafunzi wa chuo flani walikua na pepa cku ya jumatatu sasa jana yake jumapili walienda club !
wakiwa club walilewa sana kiasi kwamba juma3 wakachelewa kwenye pepa kabisa !
ikabidi wamfate mwalim wao na kumueleza kuwa jana jumapili walikua kwenye harusi hivyo wanamuomba awapangie cku nyingine ya pepa !
mwalim akakubali na kuwambia pepa itakua juma4.
ilipofika juma4 ticha alimuweka kila mwanafunzi ktk chumba chake na kuwapa mtiani very simple !
maswali yalikua kama ifuatavyo :-
1. bwana harusi anaitwa nani !
2.harusi ilifanyikia ukumbi gani ?
3. B.harusi alikuaje mrefu au mfupi ?
4.bwana harusi ni mweupe mweusi ?
5.ukumbin mlitoka saa ngapi !
ebwanaeeee ! ilikua full kuchanganya habari !
je ungekua mmoja wapo ungefanyaje !!!!!
wakiwa club walilewa sana kiasi kwamba juma3 wakachelewa kwenye pepa kabisa !
ikabidi wamfate mwalim wao na kumueleza kuwa jana jumapili walikua kwenye harusi hivyo wanamuomba awapangie cku nyingine ya pepa !
mwalim akakubali na kuwambia pepa itakua juma4.
ilipofika juma4 ticha alimuweka kila mwanafunzi ktk chumba chake na kuwapa mtiani very simple !
maswali yalikua kama ifuatavyo :-
1. bwana harusi anaitwa nani !
2.harusi ilifanyikia ukumbi gani ?
3. B.harusi alikuaje mrefu au mfupi ?
4.bwana harusi ni mweupe mweusi ?
5.ukumbin mlitoka saa ngapi !
ebwanaeeee ! ilikua full kuchanganya habari !
je ungekua mmoja wapo ungefanyaje !!!!!