Hakyanani hali ikiendelea hivi,tume Hutu ya Uchaguzi ikawepo pamoja na katiba mpya, UKAWA wakaendelea kua wamoja.Sikilizieni mziki wake! CCM urais watausikia kwenye bomba.Hakuna mtanzania ambaye amenufaika na utawala huu kwa sasa iweje waipigie kura CCM tena?Nenda mtaani waulize kwamba watarudia kosa kuichagua CCM utasikia.