nyie mnaopiga watu mapanga ndio tuwakubali kwa sera zenu za kueneza chuki kwa jamii, ukanda na ukabila.
Nakuambia hapa, utakufa utaiacha ccm, hatutakubali kubaguliwa kikanda, au kikabila, au chuki miongoni mwa watanzania , tanzania moja, kabila moja, sote ni ndugu, unatakiwa usema basi mwenyewe na shetani wako wa kueneza chuki miongoni mwa watanzania.