Sasa unaingia Kimara

Kishimbe wa Kishimbe

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
6,122
Reaction score
6,062
SASA UNAINGIA KIMARA
Tulikuwa tunaingia mkoa wa Mara kwa heshima zote na pale mpakani unakutana na bango kubwa sana linalosoma "SASA UNAINGIA MKOA WA MARA" kana kwamba unatakiwa kuchagua ama kuendelea na safari ama kurudi ulikotoka!

Ingependeza pia kukawa na bango linalosoma "SASA UNAINGIA KIMARA" ili kuipa hadhi Kimara inayoweza mpaka kuionya URRUSI!

Kuna haja pia ya kusimika KANDA MAALUM YA KIPOLISI KIMARA!
 
Support!
 
Mbezi hadi kimara walikiwasha aiseee
 
bango pia liandikwe KAZA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…