Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
Pauline, hebu ongezea ugali hapo, bamia/mchicha na samaki wa kukaanga ili wengine tuweze kujisikia sikia kama tumepata mlo wa uhakika
...mkate wa kumimina, vitumbua, kaimati, vipoo poo, visheti, faluda, mzuu wa nazi, mseto, samaki wa kupaka, kisamvu, Pilau ya mboga mboga...
Bro BaK we acha tu...raha ya 'mahanjumati' hayo uyavalie msuli huku ukisukumia na juice ya Bungo ilochonganywa na syrup ya Iliki au mdalasini, ...au Juice ya Embe mbichi na parachichi iliyochanganywa na tangawizi mbichi
halafu unamalizia na chai ya viungo (masala tea)