Ninahitaji binti serious,ambaye nataka kujenga naye urafiki na hatimaye kuwa mkewangu. Km kuna binti serious kwa hili na km atakadhi sifa zifuatazo,naomba ani-PM. SIFA: Awe tayari kupima UKIMWI. Awe na umri kati ya miaka 18-28. Awe muumini wa dini wa Kikristu.. Awe ni elimu ya Kidato cha Nne na kuendelea. Awe ni kutoka kabila lolote kati ya Makabila ya Tanzania tu. MIMI NI MKRISTO MCHA MUNGU,MWENYE UMRI WA MIAKA 33 NA KIELIMU NI "GRADUATE" NINA KADIGRII.