chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,370
- 27,786
Inasemekana benki kuu hakuna hata senti tano iliyobakishwa kwani kuna mfanya biashara maarufu aliyekuwa akihitaji fedha zake Kwa ajili ya kuendesha shughuli zake ikiwemo kulipia mzigo wake uliokwama bandarini kaambiwa hakuna hata mia hivyo asubirie kama CCM ikishinda atarejeshewa fedha zake kwani fedha nyingi za watu zilizokuwa benki kuu CCM wanazitumia kufanya kampeni na kuhonga watu.
Nawaasa CCM kuwa makini na fedha za watanzania wasizifanyie masikhara LA sivyo wataipeleka nchi pabaya.
Mwigulu na wenzenu wenye uchu wa kuendelea kutawala nchi kimabavu huku mkitumia Mali za watu kujipatia madaraka kuweni makini.
Nawaasa CCM kuwa makini na fedha za watanzania wasizifanyie masikhara LA sivyo wataipeleka nchi pabaya.
Mwigulu na wenzenu wenye uchu wa kuendelea kutawala nchi kimabavu huku mkitumia Mali za watu kujipatia madaraka kuweni makini.