Kwa yooote yanayoendelea Sasa ndani ya CDM, kwa kula matapishi yao na kutuaminisha Lowasa Ni safi na anafaa kutuongoza, naanza kuamini ndg Zitto aliwekewa mizengwe ndani ya chadema ili atoke.
Tatizo sio kwamba alihusika au hakuusika tatizo ni jinsi chadema walivyomchafua.Mkuu, ulimsikia Lowasa alichosema kuhusu tuhuma dhidi yake katika Richmond ? Hebu fikiria kama ungekuwa wewe ndo mwenye maamuzi, mtu akuhahakishie mbele ya hadhara kama ile kwamba kulikuwa na ,aelekezo kutoka Mamlaka za Juu kuhusu kutovunja mkataba wa Richmond ungeendelea kumtuhumu ?? Sasa hayo Mamlaka ya Juu yajitokeze na kukanusha kuwa hayakutoa malekezo kuhusu Richmond. Aidha, nathani kuna mambo mengi ambayo Lowasa aliwaeleza hawa UKAWA hadi wamkubalie kuingia kwao, vinginevyo, kwa jinsi walivyokuwa wanamsema vibaya wangemkaribisha kama kweli wana nia nzuri na maendeleo ya Upinzani nchini. Halfu post yako ya kwanza tu inaonyesha kuwa huenda umeingia kwa ID nyingine kwa makusudi maalum !!!!
Mkuu, ulimsikia Lowasa alichosema kuhusu tuhuma dhidi yake katika Richmond ? Hebu fikiria kama ungekuwa wewe ndo mwenye maamuzi, mtu akuhahakishie mbele ya hadhara kama ile kwamba kulikuwa na ,aelekezo kutoka Mamlaka za Juu kuhusu kutovunja mkataba wa Richmond ungeendelea kumtuhumu ?? Sasa hayo Mamlaka ya Juu yajitokeze na kukanusha kuwa hayakutoa malekezo kuhusu Richmond. Aidha, nathani kuna mambo mengi ambayo Lowasa aliwaeleza hawa UKAWA hadi wamkubalie kuingia kwao, vinginevyo, kwa jinsi walivyokuwa wanamsema vibaya wangemkaribisha kama kweli wana nia nzuri na maendeleo ya Upinzani nchini. Halfu post yako ya kwanza tu inaonyesha kuwa huenda umeingia kwa ID nyingine kwa makusudi maalum !!!!
Mkuu, ulimsikia Lowasa alichosema kuhusu tuhuma dhidi yake katika Richmond ? Hebu fikiria kama ungekuwa wewe ndo mwenye maamuzi, mtu akuhahakishie mbele ya hadhara kama ile kwamba kulikuwa na ,aelekezo kutoka Mamlaka za Juu kuhusu kutovunja mkataba wa Richmond ungeendelea kumtuhumu ?? Sasa hayo Mamlaka ya Juu yajitokeze na kukanusha kuwa hayakutoa malekezo kuhusu Richmond. Aidha, nathani kuna mambo mengi ambayo Lowasa aliwaeleza hawa UKAWA hadi wamkubalie kuingia kwao, vinginevyo, kwa jinsi walivyokuwa wanamsema vibaya wangemkaribisha kama kweli wana nia nzuri na maendeleo ya Upinzani nchini. Halfu post yako ya kwanza tu inaonyesha kuwa huenda umeingia kwa ID nyingine kwa makusudi maalum !!!!
Mkuu, ulimsikia Lowasa alichosema kuhusu tuhuma dhidi yake katika Richmond ? Hebu fikiria kama ungekuwa wewe ndo mwenye maamuzi, mtu akuhahakishie mbele ya hadhara kama ile kwamba kulikuwa na ,aelekezo kutoka Mamlaka za Juu kuhusu kutovunja mkataba wa Richmond ungeendelea kumtuhumu ?? Sasa hayo Mamlaka ya Juu yajitokeze na kukanusha kuwa hayakutoa malekezo kuhusu Richmond. Aidha, nathani kuna mambo mengi ambayo Lowasa aliwaeleza hawa UKAWA hadi wamkubalie kuingia kwao, vinginevyo, kwa jinsi walivyokuwa wanamsema vibaya wangemkaribisha kama kweli wana nia nzuri na maendeleo ya Upinzani nchini. Halfu post yako ya kwanza tu inaonyesha kuwa huenda umeingia kwa ID nyingine kwa makusudi maalum !!!!
Lakini Mkuu, wewe ni Msemaji wa Mamlaka ya Juu alioitaja Lowasa ? Mbona yenyewe iko kimya, kwa Kitengo cha Mawasiliano ya Mamlaka ya Juu kina kazi gani.Unajua mtu muongo utamjua tu eti huyu lowassa anadai alikuwa na kikao cha wataalamu wa mikataba akawaambia eti huu mkataba tuuvunje wao wakasena ngoja kidogo,wakatoka kwa muda waliporudi wakadai eti tumewasiliana na mamlaka ya juu na tumeambiwa tuendee nao,hivi nan8 asiyejua kuwa mamlaka ya juu ni raisi,na nani asitejua kuwa waziri mkuu ana mawasiliano ya moja kwa moja na rasi?
Yaani watu wadogo wamwambie waziri mkuu wamewasil8ana na raisi bila yeye kuongea na raisi kuthibitisha hilo?
Mnasahau kuwa kamati ya mwakyembe ilimwita l9wassa zaidi ya mara 3 khhojiwa akakataa na alikuja zusha uongo kwamba yeye hajahojiwa?
Ccm haiwezi kutishwa na mtu mmoja ambae yeye anataka akiburute chama atakavyo,kama amefanikiwa kuwaburuta chadema basi ni hukihuko kwa ccm no and the big no
Yeye ausubiri mziki wa tingatinga maguful8 na si hivyo tu angoje aone ushahidi wa suala lake utakavywekwa hadharani wakati wa kampeni
Ni kweli nisingekubali. Lakini pia nisingethubutu kusingizia Mamlaka iliyokuwa Juu yangu enzi hizo, najiaminije hadi kufikia kusema neno kubwa kama hilo ?Angekuwa wewe ungekubali kwamba ulifanya hivo? Tunasema MTU yeyote yule ukishampa uwanja wa kujitetea lazma atakupa evidence na ukubaliane na maelezo yake tu, inabd sometime tuwe na maamuzi na sio kushadadia na kushangilia mambo ambayo hayafai hata kdogo, watu was CDM walishasema huyo MTU hafai Leo hii the same person anapewa sifa kede kede....wakati wa kufata mikumbo umeisha sasa HV tunaangalia namna ya kuweka nchi yetu kwenye usawa.. eti MTU anasema jamaa ilibd tumpokee maana ana watu wengi nyuma yake, lakn hajiulizi kwa nini mtu huyo alifanya nn hapo nyuma na kwa nini kama aliona CDM inamfaa hakuhamia mapema had I asubili akataliwe ndo aanze kukimbia kimbia tu. Mnatupeleka kwenye mambo magumu sana
Nathani walikuwa wanatumia taarifa ambazo walikuwa wamepewa ambazo kila mtanzania alikuwa ameanishwa hivyo kwa kuwa zilikuwa zinatoka kwenye taasisi kubwa za Seikali, na asingeweza kwenda kinyume ilhali yuko ndani. Sasa amekuwa huru amesema ukweli, sasa CDM wamejua ukweli ulivyo ndo maana wamemsamhe kwa kuwa walimtendea hivyo bila kujua undani wa jambo lenyewe. sasa ni wajubu waliokuwa wanasema kuwa yeye ni fisadi hadi kumlazimisha kujiuzulu, wathibitishe kuwa aliyoyasema sio kweli.Tatizo sio kwamba alihusika au hakuusika tatizo ni jinsi chadema walivyomchafua.
Dr Slaa yupo kimya mana anaona aibu kwa ile list of shame.
Mkuu, ulimsikia Lowasa alichosema kuhusu tuhuma dhidi yake katika Richmond ? Hebu fikiria kama ungekuwa wewe ndo mwenye maamuzi, mtu akuhahakishie mbele ya hadhara kama ile kwamba kulikuwa na ,aelekezo kutoka Mamlaka za Juu kuhusu kutovunja mkataba wa Richmond ungeendelea kumtuhumu ?? Sasa hayo Mamlaka ya Juu yajitokeze na kukanusha kuwa hayakutoa malekezo kuhusu Richmond. Aidha, nathani kuna mambo mengi ambayo Lowasa aliwaeleza hawa UKAWA hadi wamkubalie kuingia kwao, vinginevyo, kwa jinsi walivyokuwa wanamsema vibaya wangemkaribisha kama kweli wana nia nzuri na maendeleo ya Upinzani nchini. Halfu post yako ya kwanza tu inaonyesha kuwa huenda umeingia kwa ID nyingine kwa makusudi maalum !!!!