Sasa mke basi!

hivi hao wakwe ujana wao wamekula wapi hawajajenga uje kuwajengea wewe.... hapo biga mimba mfulululizo kisha wote kimya, pia jitahidi kukomaa nao!
 
Duuh hiyo kari mkuu cjawahi ona me niungane na mdau mmoja yeye amekwenda mbali na kutofasili nyumba kuwa mimba me nafikli nikwel hayo ni mafumbo we wakiendelea kukusumbua wambie waandae matilio we utakwenda kujenga kwan wao siwalianda mkeo ndo ukafika hapo ili kuowa hivyo nanyumba waadae matilio we ukajege au mnasemeje wadau.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Chukua ndugu zako uwapange waanze kudai mkeo awajengee nyumba uone reaction yake itakuwaje.

Halafu mpeleke mkeo shule maana inaonekana kichwani ni mtupu hata kama anaelimu haijamsaidia chochote.
 
ww acha mambo ya ajaabu. mwambie my wife wako mjenge nyumba fasta sana. usirembe. (MIMBA TU WANATAKA)
 
Duh hiyo ni zaidi ya ndoano ni nyavu kabisa
 
 
i got u sana tu ila uko mbeleni lazima pawe na shoda kama akiamua kuvumilia yaani wezi mmoja tu wa ndoa unadai ujengewe nyimba what if ikifika miaka miwili wataomba wajengewe nini,ofcourse mume anaweza akasimama kwenye nafasi yake lakini hilo swala lityakuwa linamtafuna kuona hamna maelewano mazuri na uopande wa mkwe coz mtu unaoa ili upatye amani ya moyo na pumziko kama inakuwa vinginevyo its boring
 
Makubwa jamani ndoa ina mwez wakwe wanaomba wajengewe nyumba mh bas wana njaa sana wapo kimaslahi zaidi
 
Kuna mdau kasema labda mtoa mada ni fundi ujenz ndo alikuwa anaombwa akapunguze garama za fundi hahaha
 
Wajengee mimba kwenye tumbo la binti yao.... Ndicho wanachomaanisha..... Lugha za mafumbo madogo zinawapiga chenga sana. Au ulifikiri wanataka umlishe tofali binti yao?

ahahahahaaa mkuu umetisha mweeeeeeeeeeee
 
Mkwe wangu hawezi kuniomba hata hela kama ana tatizo anaongea na mtoto wake ndo ananiambia ni kama ni shida ya msingi naisolve wala si kulazimishana! Sembuse kujengaB-) lo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…