ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,676
Hellow.....Ni ukweli ulio wazi kuwa hata kama umefauli vizurii lkini bado Kwenda Chuo ni Mbindeeee tena Mbindee sabaaa Kuliko miaka Yoyote ulio wahi kuisikia
Vyuo 19 vimefungiwa vyuo ambavyo wengi wao walikuwa ndio kimbilio na watu wanapata Ajira Sasa TCU kuvifunguia Ni pigo kubwaaa kwa wanao taka kuiunga na chuo kimojawapo Mfano KCMC na KAMPALA! Sasa kuvifungua means umezuia Zaidi ya wanafunzi elfu 2000 kujiunga hapoo Je wataenda wapi akati vyuo kama MUHAS kwa kila kozi hawazidishi wanafunzi 150 je wataenda wapi
Ada ya kufanya maombi sahizi imekuwa kubwa kwa watoto wa maskini kuwa na laki 2 ili ufanye maombi ni ngumu! Jamani mambi yamekuwa magumu magumu kupitiliza
Kabla hujaomba chuo pamoja na One yako Fanyeni Maombi kabla ya kufanya Maombii
Niwatakieni mafanikio katika kufanya application zenu! Bila maombi kwa MUNGU nothing can Be Done
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyuo 19 vimefungiwa vyuo ambavyo wengi wao walikuwa ndio kimbilio na watu wanapata Ajira Sasa TCU kuvifunguia Ni pigo kubwaaa kwa wanao taka kuiunga na chuo kimojawapo Mfano KCMC na KAMPALA! Sasa kuvifungua means umezuia Zaidi ya wanafunzi elfu 2000 kujiunga hapoo Je wataenda wapi akati vyuo kama MUHAS kwa kila kozi hawazidishi wanafunzi 150 je wataenda wapi
Ada ya kufanya maombi sahizi imekuwa kubwa kwa watoto wa maskini kuwa na laki 2 ili ufanye maombi ni ngumu! Jamani mambi yamekuwa magumu magumu kupitiliza
Kabla hujaomba chuo pamoja na One yako Fanyeni Maombi kabla ya kufanya Maombii
Niwatakieni mafanikio katika kufanya application zenu! Bila maombi kwa MUNGU nothing can Be Done
Sent using Jamii Forums mobile app