Sasa kwenda chuo kikuu ni bahati!

Sasa kwenda chuo kikuu ni bahati!

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,146
Reaction score
7,676
Hellow.....Ni ukweli ulio wazi kuwa hata kama umefauli vizurii lkini bado Kwenda Chuo ni Mbindeeee tena Mbindee sabaaa Kuliko miaka Yoyote ulio wahi kuisikia

Vyuo 19 vimefungiwa vyuo ambavyo wengi wao walikuwa ndio kimbilio na watu wanapata Ajira Sasa TCU kuvifunguia Ni pigo kubwaaa kwa wanao taka kuiunga na chuo kimojawapo Mfano KCMC na KAMPALA! Sasa kuvifungua means umezuia Zaidi ya wanafunzi elfu 2000 kujiunga hapoo Je wataenda wapi akati vyuo kama MUHAS kwa kila kozi hawazidishi wanafunzi 150 je wataenda wapi

Ada ya kufanya maombi sahizi imekuwa kubwa kwa watoto wa maskini kuwa na laki 2 ili ufanye maombi ni ngumu! Jamani mambi yamekuwa magumu magumu kupitiliza

Kabla hujaomba chuo pamoja na One yako Fanyeni Maombi kabla ya kufanya Maombii

Niwatakieni mafanikio katika kufanya application zenu! Bila maombi kwa MUNGU nothing can Be Done

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hellow.....Ni ukweli ulio wazi kuwa hata kama umefauli vizurii lkini bado Kwenda Chuo ni Mbindeeee tena Mbindee sabaaa Kuliko miaka Yoyote ulio wahi kuisikia

Vyuo 19 vimefungiwa vyuo ambavyo wengi wao walikuwa ndio kimbilio na watu wanapata Ajira Sasa TCU kuvifunguia Ni pigo kubwaaa kwa wanao taka kuiunga na chuo kimojawapo Mfano KCMC na KAMPALA! Sasa kuvifungua means umezuia Zaidi ya wanafunzi elfu 2000 kujiunga hapoo Je wataenda wapi akati vyuo kama MUHAS kwa kila kozi hawazidishi wanafunzi 150 je wataenda wapi

Ada ya kufanya maombi sahizi imekuwa kubwa kwa watoto wa maskini kuwa na laki 2 ili ufanye maombi ni ngumu! Jamani mambi yamekuwa magumu magumu kupitiliza

Kabla hujaomba chuo pamoja na One yako Fanyeni Maombi kabla ya kufanya Maombii

Niwatakieni mafanikio katika kufanya application zenu! Bila maombi kwa MUNGU nothing can Be Done

Sent using Jamii Forums mobile app
Katka hili mkuu yetu macho tuuu na masikio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hellow.....Ni ukweli ulio wazi kuwa hata kama umefauli vizurii lkini bado Kwenda Chuo ni Mbindeeee tena Mbindee sabaaa Kuliko miaka Yoyote ulio wahi kuisikia

Vyuo 19 vimefungiwa vyuo ambavyo wengi wao walikuwa ndio kimbilio na watu wanapata Ajira Sasa TCU kuvifunguia Ni pigo kubwaaa kwa wanao taka kuiunga na chuo kimojawapo Mfano KCMC na KAMPALA! Sasa kuvifungua means umezuia Zaidi ya wanafunzi elfu 2000 kujiunga hapoo Je wataenda wapi akati vyuo kama MUHAS kwa kila kozi hawazidishi wanafunzi 150 je wataenda wapi

Ada ya kufanya maombi sahizi imekuwa kubwa kwa watoto wa maskini kuwa na laki 2 ili ufanye maombi ni ngumu! Jamani mambi yamekuwa magumu magumu kupitiliza

Kabla hujaomba chuo pamoja na One yako Fanyeni Maombi kabla ya kufanya Maombii

Niwatakieni mafanikio katika kufanya application zenu! Bila maombi kwa MUNGU nothing can Be Done

Sent using Jamii Forums mobile app
Kusoma vizuri ni muhimu sana pia. Cheti pekee bila kuwa umekamilika ni tatizo kubwa sana.

Ubora unahimizwa kokote maendeleo yalikopatikana. Tusitafute njia ya mkato. Tuboreshe elimu itusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hellow.....Ni ukweli ulio wazi kuwa hata kama umefauli vizurii lkini bado Kwenda Chuo ni Mbindeeee tena Mbindee sabaaa Kuliko miaka Yoyote ulio wahi kuisikia

Vyuo 19 vimefungiwa vyuo ambavyo wengi wao walikuwa ndio kimbilio na watu wanapata Ajira Sasa TCU kuvifunguia Ni pigo kubwaaa kwa wanao taka kuiunga na chuo kimojawapo Mfano KCMC na KAMPALA! Sasa kuvifungua means umezuia Zaidi ya wanafunzi elfu 2000 kujiunga hapoo Je wataenda wapi akati vyuo kama MUHAS kwa kila kozi hawazidishi wanafunzi 150 je wataenda wapi

Ada ya kufanya maombi sahizi imekuwa kubwa kwa watoto wa maskini kuwa na laki 2 ili ufanye maombi ni ngumu! Jamani mambi yamekuwa magumu magumu kupitiliza

Kabla hujaomba chuo pamoja na One yako Fanyeni Maombi kabla ya kufanya Maombii

Niwatakieni mafanikio katika kufanya application zenu! Bila maombi kwa MUNGU nothing can Be Done

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nikurekebishe katika mambo mawili,
1.Sio kweli mwaka huu ndio mbinde kuingia chuo kulinganisha na miaka yote,early 80's and 90's vyuo vikuu vilikua vitatu tu yaani UDSM(+MUhimbili as college),SUA na Mzumbe(For In services).Hivyo ilikua wanaoingia ni wenye ufaulu mkubwa sana.

2.Hao unaodai watashindwa kwenda KCMC na kampala hawawezi kuingia MUHAS sabab ufinyu wa nafasi 180 na sio 150...hahaha...acha kuwa tia moyo maana hata muhas ingehitaji wanafunzi 500 always ina maintain standards zake ivo hao size ya KCMC na Kampala wasingeingia MUHAS.Niwe mkweli 99% ya wanaenda ivyo vyuo hua hawana sifa za kusoma MUHAS au UDSM.

Mwisho,niliwahi kuwashauri hawa wadogo zetu wakiwa wanafunzi wasome kwa bidii hasa PCB lakini walikua wanaona tunawatania.Sasa wanahaha wapi wakasome.Kwa aliyefaulu vizuri muda huu anachekelea tu na anafahamu kabisa wapi ataenda kufanyia degree yake.

Walio Advance,hali hii ikawe fundisho kwenu katika kuconcentrate kwny masomo na kuachana na mambo yasio ya msingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hellow.....Ni ukweli ulio wazi kuwa hata kama umefauli vizurii lkini bado Kwenda Chuo ni Mbindeeee tena Mbindee sabaaa Kuliko miaka Yoyote ulio wahi kuisikia

Vyuo 19 vimefungiwa vyuo ambavyo wengi wao walikuwa ndio kimbilio na watu wanapata Ajira Sasa TCU kuvifunguia Ni pigo kubwaaa kwa wanao taka kuiunga na chuo kimojawapo Mfano KCMC na KAMPALA! Sasa kuvifungua means umezuia Zaidi ya wanafunzi elfu 2000 kujiunga hapoo Je wataenda wapi akati vyuo kama MUHAS kwa kila kozi hawazidishi wanafunzi 150 je wataenda wapi

Ada ya kufanya maombi sahizi imekuwa kubwa kwa watoto wa maskini kuwa na laki 2 ili ufanye maombi ni ngumu! Jamani mambi yamekuwa magumu magumu kupitiliza

Kabla hujaomba chuo pamoja na One yako Fanyeni Maombi kabla ya kufanya Maombii

Niwatakieni mafanikio katika kufanya application zenu! Bila maombi kwa MUNGU nothing can Be Done

Sent using Jamii Forums mobile app
Bwana Yule mwizi sana


Anawaibia pesa wananchi bila aibu.

Si rahisi wanafunzi kupata vyuo ,hivyo wengi pesa wanazotumia kuomba vyuo zitaenda bure tu.
 
Hellow.....Ni ukweli ulio wazi kuwa hata kama umefauli vizurii lkini bado Kwenda Chuo ni Mbindeeee tena Mbindee sabaaa Kuliko miaka Yoyote ulio wahi kuisikia

Vyuo 19 vimefungiwa vyuo ambavyo wengi wao walikuwa ndio kimbilio na watu wanapata Ajira Sasa TCU kuvifunguia Ni pigo kubwaaa kwa wanao taka kuiunga na chuo kimojawapo Mfano KCMC na KAMPALA! Sasa kuvifungua means umezuia Zaidi ya wanafunzi elfu 2000 kujiunga hapoo Je wataenda wapi akati vyuo kama MUHAS kwa kila kozi hawazidishi wanafunzi 150 je wataenda wapi

Ada ya kufanya maombi sahizi imekuwa kubwa kwa watoto wa maskini kuwa na laki 2 ili ufanye maombi ni ngumu! Jamani mambi yamekuwa magumu magumu kupitiliza

Kabla hujaomba chuo pamoja na One yako Fanyeni Maombi kabla ya kufanya Maombii

Niwatakieni mafanikio katika kufanya application zenu! Bila maombi kwa MUNGU nothing can Be Done

Sent using Jamii Forums mobile app
source ya data

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba nikurekebishe katika mambo mawili,
1.Sio kweli mwaka huu ndio mbinde kuingia chuo kulinganisha na miaka yote,early 80's and 90's vyuo vikuu vilikua vitatu tu yaani UDSM(+MUhimbili as college),SUA na Mzumbe(For In services).Hivyo ilikua wanaoingia ni wenye ufaulu mkubwa sana.

2.Hao unaodai watashindwa kwenda KCMC na kampala hawawezi kuingia MUHAS sabab ufinyu wa nafasi 180 na sio 150...hahaha...acha kuwa tia moyo maana hata muhas ingehitaji wanafunzi 500 always ina maintain standards zake ivo hao size ya KCMC na Kampala wasingeingia MUHAS.Niwe mkweli 99% ya wanaenda ivyo vyuo hua hawana sifa za kusoma MUHAS au UDSM.

Mwisho,niliwahi kuwashauri hawa wadogo zetu wakiwa wanafunzi wasome kwa bidii hasa PCB lakini walikua wanaona tunawatania.Sasa wanahaha wapi wakasome.Kwa aliyefaulu vizuri muda huu anachekelea tu na anafahamu kabisa wapi ataenda kufanyia degree yake.

Walio Advance,hali hii ikawe fundisho kwenu katika kuconcentrate kwny masomo na kuachana na mambo yasio ya msingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa na A ya Biology A level, wala sikupata tabu juu ya chuo
 
Alisema anataka vyuo viwe 5 tu
Kiukweli kuna vyuo vingi vinavyosababisha watu wanajifunza ujinga tu
 
Back
Top Bottom