issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,795
- 5,253
mwaka jana mmetuambia kuwa airtel ni kampuni ya serikali kwa asilimia mia (inamilikiwa na serikali) mwaka huu mnatuambia kuwa hisa za serikali zimepanda toka 40 mpaka 49. Tuwaeleweje nyieNonsense from the craps so called Ba vichaaa!
Hata mambo ya hisa zetu toka TTCL,CELTEL, ZAIN na hivi sasa ZAIN bado hamuwezi kupambanua ?mnatuletea uharo wa threads mfu kama hizi.
Majizi utayajua tu!
Aibu kwenu mlizowea short cuts za matanuzi ya magari ya kelele mitaani kwa fweza za wizi sasa mtaisoma namba....nahii ni mpaka 2025 na baadae ni majaliwaaaaa![emoji1241]
Sent using Jamii Forums mobile app