usisahau kuna migodi ya madini ilipunguziwa kodi .. kitu kama sikosei.. hiyo nyumba ya mwalimu utalalaje na mke wako hapo ndani? hivi huyo mwalimu analipwa mshahara kweli? ataluwa halipwi aisee ....haiwezekani ..na vyeti vyake vya ualimu kaviweka humo humo ndani kwenye kibanda chake . mmm nina maswali mengi ambayo hayana majibu . lol!!Hicho kibanda cha mbavu za mbwa hakina hadhi hata ya kuitwa choo wachilia mbali darasa. Pamoja na misaada mingi toka nchi za wafadhili na ongezeko kubwa la makusayo ya kodi ya mapato bado shule nyingi nchini ziko katika hali ya kukatisha tamaa.
[h=3]WALIMU WAWILI PEKEE WAFUNDISHA SHULE NZIMA PEKE YAO HUKO IRINGA[/h]
FYI: Ludewa kuna shule za msingi 102 wilaya nzima. Na hakuna shule inayoitwa s/m nchunchuma. Pls, Francis.Wananchi wa Ludewa amkeni,watoto wenu wanateseka na wabunge mnao.Hao wabunge wenu wana fanya nini bungeni?Au wanawaza kulea mizigo yao ya dhambi(vitambi) na kusomesha watoto wa sainti nanihiii?
FYI: Ludewa kuna shule za msingi 102 wilaya nzima. Na hakuna shule inayoitwa s/m nchunchuma. Pls, Francis.
usiongee kwa kuhisi .. hatuendi hivyo...wangetuwekea madarasa ya shule ya msingi rutihinda au muungano then waje kutuonyesha hiyo eti ndio nyumba ya mwalimu wote tusingekubali.. angalia madarasa na nyumba ya mwalimu havina uwiano?Hata mimi naona kuna changa la macho. Hapa tusilete ushabiki hata kidogo mambo mengine tutumie akili hiyo nyumba si ya mwalimu hata kidogo. Tuache kukurupuka hapa