miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
kichwa chiniHahahahahaha, hivi kwanini?
kichwa chiniHahahahahaha, hivi kwanini?
Hivi huwa mnafikiri sisi wanaume huwa hatuzipendi hela zetu? Unakutana na mtoto wa kike mnaanza malovee, unamwita sehemu mnakula, mnakunywa mwanaume unalipa bili kiroho safi.
Pole mkuu mi siku hiz naongaga mara moja nikishapiga papuchi sihudumii! sina hamu tela walivyonifanyia
Mkienda kupiga show unagharamia venue mnapeana starehe mkimaliza unamtoa na hela ya nauli lakini mwisho wa siku anakuja kukupiga mzinga utackia "baby wangu naomba laki moja nna shida".
Wakati yeye pia anafanya kazi na anakipato, yani sasa hivi dawa ni kuwa mwanaume suruali tu, unabaki na hamu zako, zikikuzidi unanunua mzigo unapiga unasepa hamna kung'ang'aniana.
Huu mwaka sitajisumbua kumuimpress mwanamke dadadeek!
pesa zimekata mtaani wanaume ndio tumejua kubana matumizi saa hii yaani tunakumbika kuvuta shuka huku kumekuchaMbona mada za hivi zimekuwa nyingi?
Kulikoni!
Embu fanya ndio tumekutana miss chaga,nishawishi nikutoeukikutana na mi mbona utatoa tu
nakaa na wewe natafuta interest zako naanza kudili na interest zako wewe me nafaidi .. wewe huku ukijipa moyo kuwa sikuchuni lakini zinakutoka tuEmbu fanya ndio tumekutana miss chaga,nishawishi nikutoe
Naomba mbinuukikutana na mi mbona utatoa tu
Cheza na interest zake humo humo unavutaNaomba mbinu
starehe gharamaHivi huwa mnafikiri sisi wanaume huwa hatuzipendi hela zetu? Unakutana na mtoto wa kike mnaanza malovee, unamwita sehemu mnakula, mnakunywa mwanaume unalipa bili kiroho safi.
Mkienda kupiga show unagharamia venue mnapeana starehe mkimaliza unamtoa na hela ya nauli lakini mwisho wa siku anakuja kukupiga mzinga utackia "baby wangu naomba laki moja nna shida".
Wakati yeye pia anafanya kazi na anakipato, yani sasa hivi dawa ni kuwa mwanaume suruali tu, unabaki na hamu zako, zikikuzidi unanunua mzigo unapiga unasepa hamna kung'ang'aniana.
Huu mwaka sitajisumbua kumuimpress mwanamke dadadeek!
Sawa mkuu naelewa starehe gharama,ndo maana utakuta bata zote unalipa wewe,yeye hata sh.10 hachangii and u ar proud of it na unalipa kiroho safi tu,lkn mwisho wa cku anakupga mzinga kwa nn wkt na yeye anafanya kazi na hela anayo?!starehe gharama
Hahahaaaaaaa*Zawadi ambazo MWANAUME humzawadia MWANAMKE:*
```1. Nyumba```
```2. Gari```
```3. Duka/biashara```
*Zawadi ambayo MWANAMKE humzawadia MWANAUME:*
```1. Vest```
```2. Boksa```
```3. Saa```
*Wanaume Tupimwe akili*
Ingia kwenye website ya kupatana mkuu kuna majibu ya swali lakoWadau naomba kujua,hivi mwaka huu kutakuwa na wanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule za serikali?
Hahahaaaa!we mi hapo hunipati,mi ninaishi style ya wanywa pombe,kama pombe ntakununulia ukiniomba hela sikupi halafu nakupga chini!nakaa na wewe natafuta interest zako naanza kudili na interest zako wewe me nafaidi .. wewe huku ukijipa moyo kuwa sikuchuni lakini zinakutoka tu
Hapa nimekusoma kula lyk*Zawadi ambazo MWANAUME humzawadia MWANAMKE:*
```1. Nyumba```
```2. Gari```
```3. Duka/biashara```
*Zawadi ambayo MWANAMKE humzawadia MWANAUME:*
```1. Vest```
```2. Boksa```
```3. Saa```
*Wanaume Tupimwe akili*