momo j
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 374
- 206
Ndio maana sometimes leasing Ni better kuliko ku own.Hivi huwa mnafikiri sisi wanaume huwa hatuzipendi hela zetu?!unakutana na mtoto wa kike mnaanza malovee, unamwita sehemu mnakula, mnakunywa mwanaume unalipa bili kiroho safi mkienda kupiga show unagharamia venue mnapeana starehe mkimaliza unamtoa na hela ya nauli lakini mwisho wa siku anakuja kukupiga mzinga utackia "baby wangu naomba laki moja nna shida" wakati yeye pia anafanya kazi na anakipato!Yani sasa hv dawa ni kuwa mwanaume suruali tu,unabaki na hamu zako,zikikuzidi unanunua mzigo unapiga unasepa hamna kung'ang'aniana!Huu mwaka sitajisumbua kumuimpress mwanamke dadadeek!