sasa hii ni mbinu

kindikinyer leborosier

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2018
Posts
497
Reaction score
951
wakuu habari..
.
.
huu ukwaju uloletwa mjin umekuwa unaliwa kivingine kimitego na hawa waliozungumza ana kwa ana na shetani pale bustanini!
.
tazama wanavyoulamba utashangaa mara waunyonye huku wanakutazama usoni.
.
.
ukiwa unaongea nae unaona kabisa kichwa chake hakipo na wewe kipo mbali sana. unaona kabisa kuna kitu anakiwaza..
.
.
 
Hakuna hata picha mkuu. Tuone huo ukwaju ?
 
Hahaha. Ati anavyouramba huku anakuangalia usoni.. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…