Sarafu ya 500 imekuwa dili

Sarafu ya 500 imekuwa dili

bosco patrick

Member
Joined
Nov 12, 2015
Posts
16
Reaction score
7
Tunaombeni serikali ifuatilie hili suala. Maana kuna watu mtaani huku mwanza wananunua hizo sarafu kwa sh 1000/= hatujajua mtatumizi yake ni yapi. Na ukifuatilia kwa karibu utagundua kuwa 500 imekuwa adimu, sina uhakika kwa mikoa mingine ila kwa Mwanza. Inaonekana 500 ya noti inapotea kwa speed sana. Hiyo ya sarafu inayoingia inanunuliwa na kutumika isivyotakiwa
 
Hao wapo nyuma mana hizi za sasa sio dili
Kipindi zilipotoka ndo zilikuwa dili watu wanazitafuta vibaya mno tena wanazunguka madukani kuzinunua
Nasikia serikali ilistuka mapema ikazibadilisha ndo mana ukiishika hii ya sasa na ile ya zamani inautofauti hizi za sasa nyepesi sana
Nasikia walikuwa wanayeyusha kutengenezea vito vya thamani sijui ni kweli ila ukikamatwa imekula kwako(Hizo ni stori za kitaa)
Suala la noti kupotea nadhani ni mpango wa kuitoa kwenye mzunguko mana zile noti ni za hovyo zimechoka mbaya ili zibaki sarafu
 
Tunaombeni serikali ifuatilie hili suala. Maana kuna watu mtaani huku mwanza wananunua hizo sarafu kwa sh 1000/= hatujajua mtatumizi yake ni yapi. Na ukifuatilia kwa karibu utagundua kuwa 500 imekuwa adimu, sina uhakika kwa mikoa mingine ila kwa Mwanza. Inaonekana 500 ya noti inapotea kwa speed sana. Hiyo ya sarafu inayoingia inanunuliwa na kutumika isivyotakiwa
Du u u! Hiyo dili safi sana, ebu weka contact tuanze biashara
 
Tunaombeni serikali ifuatilie hili suala. Maana kuna watu mtaani huku mwanza wananunua hizo sarafu kwa sh 1000/= hatujajua mtatumizi yake ni yapi. Na ukifuatilia kwa karibu utagundua kuwa 500 imekuwa adimu, sina uhakika kwa mikoa mingine ila kwa Mwanza. Inaonekana 500 ya noti inapotea kwa speed sana. Hiyo ya sarafu inayoingia inanunuliwa na kutumika isivyotakiwa
Mimi ninazo nyingi hizo
 
NYIE endeleeni tu kujisifu maafisa usalama wanachukua idadi ya watu walioficha pesa majumbani.😕😕😕😕
 
Tunaombeni serikali ifuatilie hili suala. Maana kuna watu mtaani huku mwanza wananunua hizo sarafu kwa sh 1000/= hatujajua mtatumizi yake ni yapi. Na ukifuatilia kwa karibu utagundua kuwa 500 imekuwa adimu, sina uhakika kwa mikoa mingine ila kwa Mwanza. Inaonekana 500 ya noti inapotea kwa speed sana. Hiyo ya sarafu inayoingia inanunuliwa na kutumika isivyotakiwa


SOMA HAPA

https://www.jamiiforums.com/threads/bot-na-kasha-ya-kuuzwa-kwa-sarafu-ya-mia-tano-tsh-500.842210/
 
hizo wanaziyeyusha then wanatengenezea chen za silver nk.
 
Hao wapo nyuma mana hizi za sasa sio dili
Kipindi zilipotoka ndo zilikuwa dili watu wanazitafuta vibaya mno tena wanazunguka madukani kuzinunua
Nasikia serikali ilistuka mapema ikazibadilisha ndo mana ukiishika hii ya sasa na ile ya zamani inautofauti hizi za sasa nyepesi sana
Nasikia walikuwa wanayeyusha kutengenezea vito vya thamani sijui ni kweli ila ukikamatwa imekula kwako(Hizo ni stori za kitaa)
Suala la noti kupotea nadhani ni mpango wa kuitoa kwenye mzunguko mana zile noti ni za hovyo zimechoka mbaya ili zibaki sarafu
Mbona hata saiv noti nyekundu zimekuwa chakavu nin tatzo au nazo utaratibu unafanyikaa

Tupe story za kitaa
 
Mbona hata saiv noti nyekundu zimekuwa chakavu nin tatzo au nazo utaratibu unafanyikaa

Tupe story za kitaa
Nimebase kwenye noti za mia tano mana ndio janga hizo nyingine mbona ziko poa tu
 
swala la udili wa sh 500 za coin ni just a rupia things lakini hakuna udili wowote hata kidogo na pia tunatakiwa kujua ya kuwa sh 500 ndo fedha inayoongoza kuzunguka katika mzunguko yani ni ela ambayo ina demand kubwa sana kwa matumizi

ndo maana sh 500 ndo zinaongoza kuwa chakavu kuliko noti zingine ndo maana zikatoka za coin Tatizo lipo kwa mabank yetu hayazichukui na kuhakikisha zinaingia kwenye mzunguko kwa kasi ile inayotakiwa na mala nying sababu kubwa ni maswala ya Logistics
 
Back
Top Bottom