GE2025 Sara Msafiri achukua fomu ya ubunge jimbo la Mvomero

GE2025 Sara Msafiri achukua fomu ya ubunge jimbo la Mvomero

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Aliyekuwa DC wilaya3 za Kigamboni, Hanang na Kibaha na mbunge wa viti maalumu kundi la vijana 2010-2015, Bi Sarah Msafiri amechukua leo jimbo la Mvomero akijinasibu kuwa Kasi ya Rais Samia inahitaji mbunge mwenye pumzi na kwamba yeye ndio mtu sahihi kwasasa jimbo la Mvomero kuelekea 2030

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025


Screenshot 2025-06-29 194125.png
 
Back
Top Bottom