Sandwich lady kanipokonya tonge mdomoni

Sandwich lady kanipokonya tonge mdomoni

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Wapendwa.

Kasie mie, sina hamu na sandwich lady.

Kuna mkaka mmoja tulikutana training mwaka jana, ilikuwa training ya wiki 2, that kaka alionesha sign zote za kunidondokea ila hakusema neno hadi training ikaisha.

Hamadi!! Leo nikiwa naelekea kupata lunch tukakutana njiani baada ya salamu tukasema tuingie nearby restaurant tupate lunch na maongezi.

Ile tumeingia silverspoon, tukakutana na dada mmoja akamchangamkia jamaa na kutaka tuketi meza yake akamkatalia kuwa tunamaongezi.

Mdada akaja meza tuliyokaa akaanza kumwambia jamaa anaomba dakika 10 tuu kisha aende, kwani hata aliongea cha maana, ooh pale kazini majungu mengi, we bado mgeni pale, blah blah kibao.

Kumbe wako wote ofc moja, akamkatisha na kumwambia nikitoka hapa ntakuita uje tuongee mezani kwangu. Ile sandwich lady kaondoka, hata dakika mbili hazikuisha akapigiwa simu anatakiwa ofisini fastaa, akanyanyuka na kunikiss na kuniambia ILU!! Nikabaki nimeduwaa, i admire the guy ila sandwich lady alinizibia hata namba ya simmu sikuchukua.

I dont know if I love him but I admire him, mweeh!! Kasie mie.
 
Heeheehee! Sandwich lady kaharibu, na vipi si hivi karibuni umekutana na mkaka wa ndoto yako Kasinde, hope mnaendelea vema
 
We binti hatareee..!
nikidhani hizi drama zingeisha baada ya kukutana na mr. handsome..lol
 
ha ha ha ha huwaunaweza kunichekesha kwa visa vyako.

Unakazi kwa kweli toka enzi zile korogwe mpaka leo.
 
Yaani sandwich lady kaharibu mbayaa, mkaka wa ndoto yuko pale pale, huyu wa lunch ni kama crush vile...

Heeheehee! Sandwich lady kaharibu, na vipi si hivi karibuni umekutana na mkaka wa ndoto yako Kasinde, hope mnaendelea vema
 
Mahabat bado yako pale pale ila tuu nahisi siwezi acha kupopo, hamu ya kula ujana imerudi upyaa... sjui nimechanjiwa.... maana situlii



Wee kasie wee

Wewe si ulikuwa mahabani juzi kati tu?????
 
Thank you... najiuliza tuu ntampataje that guy, his kiss is still in my mind...

na mie nlikua mitaa hyo hyo sasa cjui ni wewe ila haina shaka nipe namba yako tu tutakua hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom