Samweli Sitta ni Mgonjwa

Status
Not open for further replies.
Haya nimemsamehe RIP mzee sitta
 
Kuna kitu ninajifunza; unapokua kiongonzi kuna watu wanakupenda na kuna watu wanakuchukia hasaa. Ila "mlipaji ni mola". RIP S. S.
 
Kuna kitu ninajifunza; unapokua kiongonzi kuna watu wanakupenda na kuna watu wanakuchukia hasaa. Ila "mlipaji ni mola". RIP S. S.
Mim nimejifunza kuwa matendo yako ndyo yanakufanya upendwe au uchukiwe...
 
Mbona gazeti limeandika hicho hicho?
 
Daah aiseee JF kiboko, yani watu walishamuombea mabaya hata kabla ya kifo chake, au ndo ile kauli ya kwamba sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
 
Mim nimejifunza kuwa matendo yako ndyo yanakufanya upendwe au uchukiwe...
na ukumbuke kuwa, uwe dhaifu au bora namna gani,huwez pendwa au kuchukiwa na wote duniani

Mungu ndo wakumchukulia na kum'Judge mtu

jukumu letu kwa wanaotutangulia ni kusema R.IP. tena kwa nia ya dhati kabisa mioyoni mwetu

Only that.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…