Corner stone
Member
- Jan 3, 2020
- 32
- 41
habari ya mwaka mpya wakuu, nimekutana na SAMSUNG used from dubai bei nafuu kidogo mana zile fullbox bei zake ni "sugunyo" itanilipua, nimefanya ka udadis zile simu zina dot. naombeni wenye experience na samsung used zenye dot wanipe ramani nisiyafake.