100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 8,765
- 30,677
Samsung kuna kitu inapaswa wajifunze kutoka kwa wapinzani wao apple inc,nasema hivi kwa sababu haya ni maoni yangu binafsi na mtazamo wangu juu ya kampuni kubwa kama hili kuwa kila siku wanafanya mambo ya kukurupuka.
Samsung imekuwa ni kampuni inayoweka vikolombwezo viiingi kwenye simu hali ya kuwa havina hata umuhimu wowote ule bali ni ujanja wa kumkamata mteja,nitarudi nyuma kidogo tukumbushane na tuje sasa ili kuona ni lini Samsung atajifunza?
Yafuatayo ni mambo ambayo Samsung anapaswa kujifunza.
-Waache kuweka hardware/software features kwenye simu zao amabazo ni useless.
-Waache kuweka feature kabla ya kuzifanyia re-search ya kutosha(Kukurupuka)
Useless features.
Tazama face unlock kwenye Samsung galaxy s3/note 3 n.k.
Japo ni simu ya zamani lakini kampuni kubwa kama hii inapaswa kuona mbali zaidi,haina ubishi Samsung galaxy s3 ilifanya mapinduzi makubwa ilipotoka june 2012.
Moja ya feature iliyokuwa nayo hii simu ni pamoja na face unlock,nashindwa kuelewa kwa nini samsung waliweka hii feature,accuracy yake ni mbovu sana nadhani iliwekwa kuwatoa ushamba watu ili kuwapiga pesa vizuri.
Face unlock Samsung kwanza waliiweka nadhani hata hawakuifanyia re-search,hii feature kwenye Samsung ilikuwa inaweza kuwa tricked na picha ya kwenye karatasi.
Samsung ilikuwa kwenye competition na apple iPhone lakini sikuona hiko kitu kwa iPhone mpaka tulipokuja kushuhudia kwenye face id yenye security na kutumiwa kwenye payments.
Ni moja ya feature ya kipuuzi ambayo Samsung waliziweka.
Features zingine ni kama smart scroll ile inayo track eye balls zako ukiwa unasoma na smart stay ile inayo pause video ukitazama pembeni.
Sijashuhudia hizi feature kwenye iphone kutokana na kutokua na umuhimu,hata kama tukiuliza watu 100 wenye note 3 tuwaulize wangapi wanatumia smart scroll 10 hawatofika.
Heart beat rate sensor kwenye Samsung galaxy note 4
Samsung hawakuchoka kuweka mapambo kwenye simu zao na sasa ni heart beat sensor ambayo nimeitumia binafsi na haina accuracy,sasa sijui wanaweka kwa nini?
Kuna watu niliona mtandaoni wana complain heart rate sensor inasoma mpaka 150 bpm,hivi ukifikia hii stage utakuwa hata unaona kweli?
Mimi binafsi nilitest unaweza kusoma 67 sasa hivi baada ya dakika ukiweka inasema 104 baadae tena inarudi 65.
this is complete a joke.
Sensor ipo kwenye apple watch ambayo acccuracy yake ni 97%, ambapo hata iphone x haina heart rate sensor.
Kulipuka kwa Samsung galaxy note 7
Samsung kwa mara ya kwanza walisema kuwa ilikuwa ni shoti kwenye circuit na battery lakini baada ya watafiti kufanya hili jaribio kwa hivi vifaa kwa kutumia safe batteries bado simu ilikuwa inachemka sana hivyo kupelekea galaxy note 7 kukatazwa rasmi katika matumizi.
Tatizo lilikuwa kwenye power management features,hii ni simu ya kwanza kabisa kwa Samsung iliyokuwa na USB-C na ilikuwa ina charge only 35 minutes na tayari imejaa,pia ilikuwa na charge ya kawaida kama convertor.
Tatizo lilikuwa ni tokana na uzembe kama vile kuweka 3500mah battery kwenye simu yenye 7.9mm thin, pia kulikuwa na manufacturing problems,nadhani hapo unaona battery ilivyobanwa,yote hii ilikuwa ni kuipa maisha marefu simu katika matumizi ya battery.
Uzembe huu ulipelekea over heating na simu kuripuka ovyo hivyo kuwa hatari zaidi kwa watumiaji.
Pink line
Tuache mambo ya zamani,je Samsung wamejifunza nini nyuma?
Nadhani mmeshuhudia baadhi ya simu hasa s7/s6 edge zikiwa na pink line kwa pembeni mara nyingi upande wa kulia,mara ya kwanza niliona simu ya rafiki yangu nikadhani labda aliiangusha lakini nilizidi kuona watu wa karibu yangu tena kama wa 3 nao simu zao zipo hivyo ikabidi ni fanye re search ndogo kwenye mtandao,sasa huko nilikuta watu wengi wakilalamika hasa kwenye forums za samsung nao simu zao zipo hivyo wala hawajawahi kuziangusha wala kukalia simu bahati mbaya.
Pink line of pixels down edge screen - Android Forums at AndroidCentral.com
Kulikuwa kuna njia tofauti tofauti za ku fix na mara nyingi ilikuwa ni hardware problems,watu wengine ilibidi wazitume Samsung ili kusudi warekebishiwe.
Binafsi sijafuatilia tatizo linasababishwa na nini lakini hili limetokea ghafla baada ya Samsung kuingia kwenye vioo vya edge,nahisi hawakufanya pia re-search ya kutosha na walikurupuka kama kawaida yao.
Binafsi siku Samsung wakijua kutengeneza simu nitatumia lakini bado wana safari ndefu hasa kushindana na kampuni kama iPhone.
Nimenunua note 7 2016 imelipuka 2017 nanunua edge inaleta pink line utanishauri nini?niendelee kutumia Samsung?
Kuna vitu vingi sana bado sijavizungumza mungu akipenda nitaendelea...............
Samsung imekuwa ni kampuni inayoweka vikolombwezo viiingi kwenye simu hali ya kuwa havina hata umuhimu wowote ule bali ni ujanja wa kumkamata mteja,nitarudi nyuma kidogo tukumbushane na tuje sasa ili kuona ni lini Samsung atajifunza?
Yafuatayo ni mambo ambayo Samsung anapaswa kujifunza.
-Waache kuweka hardware/software features kwenye simu zao amabazo ni useless.
-Waache kuweka feature kabla ya kuzifanyia re-search ya kutosha(Kukurupuka)
Useless features.
Tazama face unlock kwenye Samsung galaxy s3/note 3 n.k.
Japo ni simu ya zamani lakini kampuni kubwa kama hii inapaswa kuona mbali zaidi,haina ubishi Samsung galaxy s3 ilifanya mapinduzi makubwa ilipotoka june 2012.
Moja ya feature iliyokuwa nayo hii simu ni pamoja na face unlock,nashindwa kuelewa kwa nini samsung waliweka hii feature,accuracy yake ni mbovu sana nadhani iliwekwa kuwatoa ushamba watu ili kuwapiga pesa vizuri.
Face unlock Samsung kwanza waliiweka nadhani hata hawakuifanyia re-search,hii feature kwenye Samsung ilikuwa inaweza kuwa tricked na picha ya kwenye karatasi.
Samsung ilikuwa kwenye competition na apple iPhone lakini sikuona hiko kitu kwa iPhone mpaka tulipokuja kushuhudia kwenye face id yenye security na kutumiwa kwenye payments.
Ni moja ya feature ya kipuuzi ambayo Samsung waliziweka.
Features zingine ni kama smart scroll ile inayo track eye balls zako ukiwa unasoma na smart stay ile inayo pause video ukitazama pembeni.
Sijashuhudia hizi feature kwenye iphone kutokana na kutokua na umuhimu,hata kama tukiuliza watu 100 wenye note 3 tuwaulize wangapi wanatumia smart scroll 10 hawatofika.
Heart beat rate sensor kwenye Samsung galaxy note 4
Samsung hawakuchoka kuweka mapambo kwenye simu zao na sasa ni heart beat sensor ambayo nimeitumia binafsi na haina accuracy,sasa sijui wanaweka kwa nini?
Kuna watu niliona mtandaoni wana complain heart rate sensor inasoma mpaka 150 bpm,hivi ukifikia hii stage utakuwa hata unaona kweli?
Mimi binafsi nilitest unaweza kusoma 67 sasa hivi baada ya dakika ukiweka inasema 104 baadae tena inarudi 65.
this is complete a joke.
Sensor ipo kwenye apple watch ambayo acccuracy yake ni 97%, ambapo hata iphone x haina heart rate sensor.
Kulipuka kwa Samsung galaxy note 7
Samsung kwa mara ya kwanza walisema kuwa ilikuwa ni shoti kwenye circuit na battery lakini baada ya watafiti kufanya hili jaribio kwa hivi vifaa kwa kutumia safe batteries bado simu ilikuwa inachemka sana hivyo kupelekea galaxy note 7 kukatazwa rasmi katika matumizi.
Tatizo lilikuwa kwenye power management features,hii ni simu ya kwanza kabisa kwa Samsung iliyokuwa na USB-C na ilikuwa ina charge only 35 minutes na tayari imejaa,pia ilikuwa na charge ya kawaida kama convertor.
Tatizo lilikuwa ni tokana na uzembe kama vile kuweka 3500mah battery kwenye simu yenye 7.9mm thin, pia kulikuwa na manufacturing problems,nadhani hapo unaona battery ilivyobanwa,yote hii ilikuwa ni kuipa maisha marefu simu katika matumizi ya battery.
Uzembe huu ulipelekea over heating na simu kuripuka ovyo hivyo kuwa hatari zaidi kwa watumiaji.
Pink line
Tuache mambo ya zamani,je Samsung wamejifunza nini nyuma?
Nadhani mmeshuhudia baadhi ya simu hasa s7/s6 edge zikiwa na pink line kwa pembeni mara nyingi upande wa kulia,mara ya kwanza niliona simu ya rafiki yangu nikadhani labda aliiangusha lakini nilizidi kuona watu wa karibu yangu tena kama wa 3 nao simu zao zipo hivyo ikabidi ni fanye re search ndogo kwenye mtandao,sasa huko nilikuta watu wengi wakilalamika hasa kwenye forums za samsung nao simu zao zipo hivyo wala hawajawahi kuziangusha wala kukalia simu bahati mbaya.
Pink line of pixels down edge screen - Android Forums at AndroidCentral.com
Kulikuwa kuna njia tofauti tofauti za ku fix na mara nyingi ilikuwa ni hardware problems,watu wengine ilibidi wazitume Samsung ili kusudi warekebishiwe.
Binafsi sijafuatilia tatizo linasababishwa na nini lakini hili limetokea ghafla baada ya Samsung kuingia kwenye vioo vya edge,nahisi hawakufanya pia re-search ya kutosha na walikurupuka kama kawaida yao.
Binafsi siku Samsung wakijua kutengeneza simu nitatumia lakini bado wana safari ndefu hasa kushindana na kampuni kama iPhone.
Nimenunua note 7 2016 imelipuka 2017 nanunua edge inaleta pink line utanishauri nini?niendelee kutumia Samsung?
Kuna vitu vingi sana bado sijavizungumza mungu akipenda nitaendelea...............