wapi hiyo?Kama ni used bei yake ni 230k kama
ongeza hela na uwe seriousNjoo uchukue pesa faster kama unataka kwa 280
Mpwa, kuwa serious kiaje? Maana nilikua natafuta S4 tangu juzi na nimepost hapa jukwaani, kuna mtu akaniambia tofauti ya S# na S4 ni ndogo sana, sasa ukiniambia niwe serious tena, sielewi! Kama ina maslahi njoo PM nikuelekeze mahali kwa mtu umpelekee akupe pesaongeza hela na uwe serious
S4 unatoa sh ngapi nikuagizie kwa jamaa yanguMpwa, kuwa serious kiaje? Maana nilikua natafuta S4 tangu juzi na nimepost hapa jukwaani, kuna mtu akaniambia tofauti ya S# na S4 ni ndogo sana, sasa ukiniambia niwe serious tena, sielewi! Kama ina maslahi njoo PM nikuelekeze mahali kwa mtu umpelekee akupe pesa
Mkubwa 290k mana naona watu wanadengua na mizigo ipo ya mana.
Mpwa, kuwa serious kiaje? Maana nilikua natafuta S4 tangu juzi na nimepost hapa jukwaani, kuna mtu akaniambia tofauti ya S# na S4 ni ndogo sana, sasa ukiniambia niwe serious tena, sielewi! Kama ina maslahi njoo PM nikuelekeze mahali kwa mtu umpelekee akupe pesa
Ha ha ha ha we bana waniacha hoi Sana kila tangazo la SIMU unatoa offer kwa kila aina ya SIMU hivi uko serious au fahari ya macho tu??
Mpwa S3 used kwa Bei hiyo achana nayo then sikushauri kabisa ts better ubaki na plan yako ya S4 nenda kariakoo mtafute punga matelephone utazipata nyingi tuu. na kwa Bei poaa....
acha tabia ya kufata wanaume sina hela ya kuhonga wamama na ndo mana simu nanunua kwa bajet finyu!
Shika adabu yako kijana!