Samsung s22 Ultra vs iPhone 14 Pro Max

Product za kampuni ya Apple ni nzuri sana kuliko za kampuni zingine.

Simu za iPhone zina ubora mkubwa ikiwemo sauti, hata laptop zao (MacBook) zina ubora kuliko brand zingine bila kusahau ear phone zao.

Mimi nilikuwa mtumiaji wa iPhone, mwaka 2021 nikahamia kwenye Samsung series za Note ila nitarudi kwenye iPhone sababu ya kuanza kutumia charging system ya C Type.
 
Iphone Vitu vyao ni Bora na nzuri kuanzia camera ukaaji wa chaji sound na system process kutokana na model Gan unatumia

Binafsi sijawahi vutiwa na iphone hata Kidogo na Wala Kuja Kutumia hii kutokana na ishu yake kuwa geti Kali sana
 
Umeongea sahihi kabisa mkuu..nina s22 ultra na mke wangu ana 14 pro max..hicho kitu nimekiona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…