SAMSUNG PHONE

MKANDAHARI

JF-Expert Member
Apr 7, 2011
5,685
6,489
Habari bandugu, naomba kujua wapi naweza pata simu ya samsung brand new kwa dar es salaam bei iwe kuanzia 800k mpaka 900k. naomba na ushauri pia nichukue model ipi kutokana na bei tajwa.
 
Habari bandugu, naomba kujua wapi naweza pata simu ya samsung brand new kwa dar es salaam bei iwe kuanzia 800k mpaka 900k. naomba na ushauri pia nichukue model ipi kutokana na bei tajwa.
Note 10
S20 Fans edition
A52
S20 plain unaweza lazimishia pia
 
Back
Top Bottom