MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,685
- 6,489
Habari bandugu, naomba kujua wapi naweza pata simu ya samsung brand new kwa dar es salaam bei iwe kuanzia 800k mpaka 900k. naomba na ushauri pia nichukue model ipi kutokana na bei tajwa.
Note 10Habari bandugu, naomba kujua wapi naweza pata simu ya samsung brand new kwa dar es salaam bei iwe kuanzia 800k mpaka 900k. naomba na ushauri pia nichukue model ipi kutokana na bei tajwa.
Ni nzuri mkuu? isije ikawa ni majanga kama hizi A series nyingineNote 10
S20 Fans edition
A52
S20 plain unaweza lazimishia pia
Note 10
S20 Fans edition
A52
S20 plain unaweza lazimishia pia
Niliona sehemu 1.05ms20 FE inauzwaje?
A52
Ni nzuri mkuu? isije ikawa ni majanga kama hizi A series nyingine
S20 hiyo bei ni ngumu kupata.Note 10
S20 Fans edition
A52
S20 plain unaweza lazimishia pia
Niliona sehemu 1.05m