Kasuku26
Member
- Aug 20, 2014
- 69
- 29
Wakuu habari,
Hii simu ni wiki sasa inasumbua touch lakini ukitumia S-Pen inatouch vizuri kabisa.
Mwenye kuelewa anisaidie kama ni ishu za software ama hardware maana nmeshindwa kuelewa.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii simu ni wiki sasa inasumbua touch lakini ukitumia S-Pen inatouch vizuri kabisa.
Mwenye kuelewa anisaidie kama ni ishu za software ama hardware maana nmeshindwa kuelewa.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app